Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mbona nasikiaga huyu jamaa ana undugu na baba Riz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brilliant summary
tayari upande wa pili wanapiga hesabu ya mgombea wa urais maana hawana
Ndio. Tena tuliiiiiii!!!!
Magu pia Ni samaki anaweza toka na samaki membeKazi ipo.CCM ni maji, Membe ni kama samaki. Samaki ataweza ishi akiwa nje ya maji?Labda Mkapa,Jk waingilie. Tutaona mengi.
Vipi mmeandaa matusi ya kumtukana Membe?Kamanda wa anga tayari atamzoa jamaa.
Ndio basi tenaaa haloooooo[emoji108]Haya sasa. Ameguswa. Ngoja tuone atakavyonuka!
Ccm inaogopa hadi unyasi mkuuHuyu Membe alikuwa anaitisha kitu gani CCM hadi waone ni wa kufukuzwa?
Prof. Mwandosya alisema, JK alikuwa na majina mfukoni
Jiwe ndiyo msemaji wa mwisho au huelewi wewe...Inamaana kafukuzwa na magufuli siyo CCM?
Naona atakwenda CHADEMA kuchukua nafasi ya Lowassa
"Akili za kuambiwa changanya na zako" jkMbona nasikiaga huyu jamaa ana undugu na baba riz?