Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Si mlikuwa mnasema anaogopwa?
Tena mapema akusubiriwa OCTOBER ili kama ana ubavu wa kupimana na Magufuli kwenye uchaguzi ajiandae mapema.
Camillius mwepesi kama karatasi alikuwa OVERRATED tu.
unajua ulichokiandika?
meko anachukiwa sana mtaani, wafanyakazi wa serikalini hawampendi, jumlisha na wale ma elfu aliowatumbua akawaita hewa.
nakwambia ukimsimamisha meko na pole pole uchaguzi ujao ,pole pole anaingia ikulu
Sent from my iPhone using JamiiForums