LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi wa viti 1,222 sawa na asilimia 0.53 katika nafasi ya wajumbe wa halmashauri za vijiji mbalimbali nchini huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiibuka na ushindi wa viti 229,075 sawa na asilimia 99.

Mchengerwa amesema hayo leo Novemba 28, 2024 wakati akitoa matokeo ya jumla ya uchaguzi huo huku akitaja vyama vingine kama ifuatavyo;

Chama cha ACT Wazalendo kimepata viti 232 sawa na asilimia 0.1 Chama cha Wananchi CUF kimepata viti 105, sawa na asilimia 0.05 na chama cha NCCR Mageuzi viti 16 sawa na asilimia 0.01.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimepata kiti kimoja katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa wenyeviti wa mitaa katika uchaguzi uliofanyika jana Novemba 27, 2024.

Mchengerwa amesema hayo leo Novemba 28, 2024 wakati akitoa matokeo ya jumla ya uchaguzi huo akikitaja Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuongoza kwa kupata jumla ya viti 4,213 sawa na asilimia 98.83 huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikishika nafasi ya pili kwa kupata viti 36 sawa na asilimia 0.84.

Mapema akizungumzia kwa upande wa wenyeviti wa vijiji, Mchengerwa amesema huko pia CCM imeongoza asilimia 99.01 ( viti 12,150) huku Chadema ikipata asilimia 0.79 (viti 97).
 
Kituoa wapiga kura hawajazidi 40 kwenye matokeo wanaonekana watu 340, very stupid
Dogo langu linaniambia kuwa kule aliko MBINGA DC hapakuwepo wagombea kutoka vyama vingine bali CCM tu lkn bado kura fake zilipelekwa vituoni ili kuepuka kura za HAPANA na kukosesha ushindi ambao ulikuwa fixed 98%.

Yaani dogo anasema mpaka Walimu wenzake waliopendekezwa kusimamia huo uchaguzi licha ya kuwa wengi wao wana kadi za CCM ila wizi huo umewastaajabisha mno.
Wanajuta kutendeshwa wizi huo.
 
Mwenyekiti mwenyewe ni yule anaeona watanzania tuna njaa ya ubwabwa..pathetic
 
Waziri wa Nchini Ofisini ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mtaa kwa mwaka 2024

Uandikishaji wa Wapiga Kura
Zoezi lolifanyika Octoba 11 mpaka 20, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura Milioni 31,282,331 walijiandikisha, baada ya mapingamizi wananchi waliojiandikisha walikuwa Milioni 31,255,303

Kupiga Kura
Wananchi waliopiga kura Novemba 27, 2024 walikuwa milioni 26,963,182 ambayo ni sawa na 86.36% ya wananchi waliokuwa na sifa ya kupiga kura.

Soma Pia:

Katika nafasi ya Mwenyeviti wa serikali za mtaa Katika maeneo yalifanya uchaguzi wa serikal za mtaa 27 Novemba, 2024 ilikuwa ni 4264 kati ya nafasi 4264 zilizopaswa kufanya uchaguzi

Kati ya nafasi hizo CCM imeshinda nafasi 4213 za wenyeviti wa mtaa sawa na 98%.83 huku CHADEMA nafasi 36 sawa na 0%.84 ACT Wazalendo imeshinda nafasi 9 sawa na 0%.21, CUF imeshinda nafasi 4 sawa 0%.09 na CHAUMA imeshinda nafasi 1 sawa na 0%.02.

Tulikuwa tunajfanya upuuzi siku ya J5
Wenye akili hatukushiriki huu upuuzi
 
uchaguzi ni mchakato endelevu ambao muhisika hatakuwi kumessup hata hatua moja...

haya ni matokeo ya uvuguvugu na mawenge ya upinzani, hususani chadema tangu uandikishaji 🐒
Uchaguzi hata ccm wenyewe hawawezi kuufurahia,
Ccm hawana furaha, upinzani hawana furaha,

Hata mama yenu hana furaha
Tuko pabaya ingawa chawa hamuoni tatizo


Nchi yenye watu walio huzuni mioyoni hawezi endelea hata mkijilazimisha furaha
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi wa viti 1,222 sawa na asilimia 0.53 katika nafasi ya wajumbe wa halmashauri za vijiji mbalimbali nchini huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiibuka na ushindi wa viti 229,075 sawa na asilimia 99.

Mchengerwa amesema hayo leo Novemba 28, 2024 wakati akitoa matokeo ya jumla ya uchaguzi huo huku akitaja vyama vingine kama ifuatavyo;

Chama cha ACT Wazalendo kimepata viti 232 sawa na asilimia 0.1 Chama cha Wananchi CUF kimepata viti 105, sawa na asilimia 0.05 na chama cha NCCR Mageuzi viti 16 sawa na asilimia 0.01.
Ile haukuwa uchaguzi ni upuuzi tu
 
Uchaguzi hata ccm wenyewe hawawezi kuufurahia,
Ccm hawana furaha, upinzani hawana furaha,

Hata mama yenu hana furaha
Tuko pabaya ingawa chawa hamuoni tatizo


Nchi yenye watu walio huzuni mioyoni hawezi endelea hata mkijilazimisha furaha

Gentleman,
Furaha ya CCM ni kumaliza uchaguzi wa kihistoria kwa amani,
Furaha ya CCM ni kuwaletea wanainchi maendeleo , na siyo hayo makhalakhancha umeandika 🐒
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi wa viti 1,222 sawa na asilimia 0.53 katika nafasi ya wajumbe wa halmashauri za vijiji mbalimbali nchini huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiibuka na ushindi wa viti 229,075 sawa na asilimia 99.

Mchengerwa amesema hayo leo Novemba 28, 2024 wakati akitoa matokeo ya jumla ya uchaguzi huo huku akitaja vyama vingine kama ifuatavyo;

Chama cha ACT Wazalendo kimepata viti 232 sawa na asilimia 0.1 Chama cha Wananchi CUF kimepata viti 105, sawa na asilimia 0.05 na chama cha NCCR Mageuzi viti 16 sawa na asilimia 0.01.
kila moja kavuna alichopanda kwa wanainchi.

Imani ya waTanzania imeamua uelekeo wa Taifa.
Hongera sana CCM kwa ushindi wa kishindo.

Shukrani sasa vyama vingine kwa kushiriki uchaguzi kwa amani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Kwani kulikuwa na uchaguzi au uchafuzi? Kungekuwa na uchaguzi Chadema wangeshinda sana tu kwa hali ilivyo. Maana, chawa huwa hawapigi kura.
 
Gentleman,
Furaha ya CCM ni kumaliza uchaguzi wa kihistoria kwa amani,
Furaha ya CCM ni kuwaletea wanainchi maendeleo , na siyo hayo makhalakhancha umeandika 🐒
Dogo chawa. Kwa akili hizi nikubaliane na trump aliye waita waafrica shit holes,

Pia nikubaliane na watafiti wanasema waafrika binadamu ambao bado hawajakamilika bado Wana undergo revolution

Population kubwa ya supporter wa ccm ni shit holes
 
Sisi wengi Wetu humu jukwaani ni watu huru hatuna njaa, hatununuliki, na hatufungamani na vyama

Lakini upuuzi kama wa .kabla na siku ya j5 siku ya uchaguzi ni upuuzi
 
elezea kwa ufupi kwa faida ya wadau,
huenda wakakuhurumia japo fomu ya uteuzi ulishindwa kuhaza kwa usahihi gentleman 🐒
Yaani kwa vigezo vyenu hapo ulipoandika "kuhaza" unaliwa kichwa
 
1732849344282.jpg
mbona mnatuchanganya haya matokeo yapo tofauti tofauti na mnasema ya jumla?
 

Attachments

  • 1732849390631.jpg
    1732849390631.jpg
    244.2 KB · Views: 1
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi wa viti 1,222 sawa na asilimia 0.53 katika nafasi ya wajumbe wa halmashauri za vijiji mbalimbali nchini huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiibuka na ushindi wa viti 229,075 sawa na asilimia 99.

Mchengerwa amesema hayo leo Novemba 28, 2024 wakati akitoa matokeo ya jumla ya uchaguzi huo huku akitaja vyama vingine kama ifuatavyo;

Chama cha ACT Wazalendo kimepata viti 232 sawa na asilimia 0.1 Chama cha Wananchi CUF kimepata viti 105, sawa na asilimia 0.05 na chama cha NCCR Mageuzi viti 16 sawa na asilimia 0.01.
Binafsi kilichonishangaza ni jinsi CUF ni king'ang'anizi yaani pamoja na promo ya ACT Wazalendo lakini Bado CUF inawatesa yaani watu wanaikumbuka CUF kuliko ACT.

Ziti amefeli kama Chadema walivyofeli 😆😆
 
Back
Top Bottom