Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini mpera ulizaa embe?Ni haki yake kabisa na kama mwanae anayo makosa basi baba awezi pewa hukumu kwa makosa ya mwanae…
Kwani bado ni DC?Baba mzazi wa DC SABAYA ateuliwa kugombea uenyekiti CCM ARUSHA
Kumbe mtoto kakopi toka kwa baba??Sexless humjui huyo Baba,ngoja watakuambia.
Yes Sexless. Ila hapo tunamuandalia kijana kupambana na Lema na kumfanya kingpin wa Kaskazini. Mrisho aage tu sasa.Kumbe mtoto kakopi toka kwa baba??
G. Lema ni namba nyingine. Sabaya hakuwa tishio kwa Lema, bali dikteta jiwe ndiye alimsumbua LemaYes Sexless. Ila hapo tunamuandalia kijana kupambana na Lema na kumfanya king pin wa Kaskazini. Mrisho aage tu sasa.
Ni kweli lakini si twajua appearance ndio kila kitu? Sasa hata kama hatuna nguvu hatuwezi kaa kama Mrisho.G. Lema ni namba nyingine. Sabaya hakuwa tishio kwa Lema, bali dikteta jiwe ndiye alimsumbua Lema
Miaka kadhaa iliyopita, ililetwa taarifa kuwa huyo Baba yake Sabaya akiwa DC aliwahi kudhihirisha ukatili mkubwa, na wwtu walihoji kama ukatili upo genes, kiasi cja kurithiwa na mwanae.Baba hana ubaya. Mfedhuili ni mwanaye Sabaya