CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Sasa ni dhahiri inabidi nitafute kadi ya CCM maana si kwa walivyonifurahisha na maamuzi haya mujarrrrrabu. Big up. Mama kunywa maji kelele za vyura tupa kule.
 
ccm NEC sio watanganyika wote ni kikundi cha watu flani hivi. wananchi tukiungana na kusema hapana mbona watapoteana mapema
 
Wewe hiyo hela itakayokuwa inaingia kila mwaka umeiona wapi? Ni shilingi ngapi?
Kama hujui serikali inategemea Dp world kuingiza trillions kadhaa kwenye hayo makubaliano kutoka kwenye hizo bandari then siwezi kukusaidia...una muda wa kutafuta,tafuta
 
Nina uhakika, kwa mkataba huu ukiachwa, ccm mtapoteana! Mtavurugwa vibaya sana
Mie siungi Mkono Mkataba huu ila usidanganyike na kelele za Tweeter

CCM ipo Madarakani kwa kuwa wakuitoa bado Wazazi wao hawajakutanisha vitovu
 
Kwa kuongeza! Kwani bandari ni mali ya CCM au ni ya wote na wasio na vyama? Wao kama wanataka wakaingie mkataba kwenye viwanja vyao vya kirumba na taka taka zingine,waarabu wawakusanyie mapato uchumi wao ukue
 
How do they go?,they are everywhere...jeshi,Tume ya Taifa ,a Uchaguzi....
Kwanza tunawapigia kura ya Hapana, Wote.

Jeshi, Tume ya Kusimika, wote hawa chonjo tu, watoe ulinzi na ushirikiano na kuhakikisha a smooth transition ya Chama kitakacho shika hatamu kwa kura ya Ndio
 
Kwanza tunawapigia kura ya Hapana, Wote.

Jeshi, Tume ya Kusimika, wote hawa chonjo tu, watoe ulinzi na ushirikiano na kuhakikisha a smooth transition ya Chama kitakacho shika hatamu kwa kura ya Ndio
Hawawezi Mkuu.Usitegemee hao kutukomboa,labda Mungu tu awatumie.Ukombozi ni sisi.Ukombozi ni sasa.
 
Kwa hali ilipofikia,viongozi wa dini ongozenj ibada za maombolezo,tugonge kengele za misiba,tumuachie Mungu afanye yake.
 
Hizo hoja we kajadili na familia yako.

Watoto warembo kama hawa wanapatikana CCM tu!.
 
Ndiyo. Swali lingine,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…