CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Acha uoga wa mabadiliko
 
Hiyo kamati ya wajinga imekutana ikiongozwa na mawazo ya msaliti, ndio maana wamekuja na maazimio batili.

Kamati badala ituambie watanganyika, hayo manufaa ya uwekezaji wa bandarini yapo kwenye kifungu gani kwenye ule mkataba wa hovyo na waarabu, wanatuambia manufaa yapo kwenye ilani ya CCM, ibara ya 59, ukurasa wa 92!.

Kwani waarabu walisaini kwenye ilani ya CCM ya 2020-2025, au kwenye IGA?!

Halafu kuna wajinga wanaotaka hawa vilaza wakosolewe kwa sauti za kubembelezwa, Samia ni msaliti asiye na huruma na watanganyika.
Acha uoga wa mabadiliko
 
Haiwezekani chama tawala kikawa na lengo baya kwa nchi nzima. Huwezi kujenga SGR kwa trilioni 14 halafu uikoseshe mzigo kwa hoja nyepesi za kipuuzi za kina Mwabukusi.
Swali moja tu nijibu kwa dhati:

Je, DPW haiwezi kuwekeza kwenye bandari zetu, kwa Sheria, Taratibu na Kanuni zetu za uwekezaji, kama makampuni mengine, bila IGA?
 
Hata mimi nakuona unapuyanga kama huoni hio hela itakayokua inaingia kila mwaka ndio thamani ya bandari yetu then siwezi kukusaidia, chuki anayo Rais kwa watanganyika au hujui hilo?!
we mjinga sana. rais Samia awachukie watanganyika kwa lipi? si Samia huyu huyu kakuta watanganyika akina lema na akina wenje wanaishi uhamishoni kama wakimbizi akasema warudi Tanzania waijenge nchi? si Samia huyu mwenye huruma na hekima na busara kakuta watanganyika wa chadema wamerundikwa magerezani na alie wawake na mtanganyika lakini akasema watoeni wajenge nchi, Si ni Samia huyu huyu kakugata mtanganyika kafungia magazeti na social media kibao akasema zifunguliwe, Si ni Samia huyu huyu kakuta mtanganyika kazuia mikutano ya siasa na kusema ifunguliwe, Si Samia huyu huyu kakakuta mtanganyika haajiri watoto wenu wa kitanganyika lakini ndani ya miaka miwili kila mwaka anaajiri, Lakini Si ni huyu Samia kakuta wafanyakazi wa kitanganyika hawapandi madaraja , hawaongezwi mishahara, wanamalimbikizo ya madeni kwa selikali lakin mama wa watu mzanzibar kwa utu wake saiv wafanyakazi wanachekelea, lakin si ni Samia huyu huyu kakuta wanafaika wabodi ya mikopo wamezidishiwa deni lao na kusema haiwezekani hiyo rention fees iondolewe? ni Samia huyu huyu kawaondolea wanafunzi wa kitanganyika ada kuanzia cheke chea mpaka kidato cha sita? na bado kaanzisha madarasa mapya karibia nchi nzima. ni mengi mno aliyo yafanya ndani ya mda mfupi. Sasa. we mjinga ebu niambia Mama Samia Angekuwa na Chuki na Tanganyika angewafanyia haya ? nimesema tutayasema bila woga yale mazuri anayoyafanya mh. Raisi hata mkisema sijui tumepewa asali sijiu sukari. Huyu mama ataleta maendeleo makubwa mtakuja kumshukuru baaadae.
 
Swali moja tu nijibu kwa dhati:

Je, DPW haiwezi kuwekeza kwenye bandari zetu, kwa Sheria, Taratibu na Kanuni zetu za uwekezaji, kama makampuni mengine, bila IGA?
Uwekezaji wa DPW ni mkubwa kulinganisha na haya makampuni yetu. DPW kawekeza Uingereza na Marekani kwa teknolojia za kisasa, hawezi akaingia tu Tanzania kama wawekezaji wengine wadogo wadogo.
 
we mjinga sana. rais Samia awachukie watanganyika kwa lipi? si Samia huyu huyu kakuta watanganyika akina lema na akina wenje wanaishi uhamishoni kama wakimbizi akasema warudi Tanzania waijenge nchi? si Samia huyu mwenye huruma na hekima na busara kakuta watanganyika wa chadema wamerundikwa magerezani na alie wawake na mtanganyika lakini akasema watoeni wajenge nchi, Si ni Samia huyu huyu kakugata mtanganyika kafungia magazeti na social media kibao akasema zifunguliwe, Si ni Samia huyu huyu kakuta mtanganyika kazuia mikutano ya siasa na kusema ifunguliwe, Si Samia huyu huyu kakakuta mtanganyika haajiri watoto wenu wa kitanganyika lakini ndani ya miaka miwili kila mwaka anaajiri, Lakini Si ni huyu Samia kakuta wafanyakazi wa kitanganyika hawapandi madaraja , hawaongezwi mishahara, wanamalimbikizo ya madeni kwa selikali lakin mama wa watu mzanzibar kwa utu wake saiv wafanyakazi wanachekelea, lakin si ni Samia huyu huyu kakuta wanafaika wabodi ya mikopo wamezidishiwa deni lao na kusema haiwezekani hiyo rention fees iondolewe? ni Samia huyu huyu kawaondolea wanafunzi wa kitanganyika ada kuanzia cheke chea mpaka kidato cha sita? na bado kaanzisha madarasa mapya karibia nchi nzima. ni mengi mno aliyo yafanya ndani ya mda mfupi. Sasa. we mjinga ebu niambia Mama Samia Angekuwa na Chuki na Tanganyika angewafanyia haya ? nimesema tutayasema bila woga yale mazuri anayoyafanya mh. Raisi hata mkisema sijui tumepewa asali sijiu sukari. Huyu mama ataleta maendeleo makubwa mtakuja kumshukuru baaadae.
Na ni huyu huyu Samia anayeuza bandari zetu, kwani kuna mwingine?? wewe vipi?
 
we mjinga sana. rais Samia awachukie watanganyika kwa lipi? si Samia huyu huyu kakuta watanganyika akina lema na akina wenje wanaishi uhamishoni kama wakimbizi akasema warudi Tanzania waijenge nchi? si Samia huyu mwenye huruma na hekima na busara kakuta watanganyika wa chadema wamerundikwa magerezani na alie wawake na mtanganyika lakini akasema watoeni wajenge nchi, Si ni Samia huyu huyu kakugata mtanganyika kafungia magazeti na social media kibao akasema zifunguliwe, Si ni Samia huyu huyu kakuta mtanganyika kazuia mikutano ya siasa na kusema ifunguliwe, Si Samia huyu huyu kakakuta mtanganyika haajiri watoto wenu wa kitanganyika lakini ndani ya miaka miwili kila mwaka anaajiri, Lakini Si ni huyu Samia kakuta wafanyakazi wa kitanganyika hawapandi madaraja , hawaongezwi mishahara, wanamalimbikizo ya madeni kwa selikali lakin mama wa watu mzanzibar kwa utu wake saiv wafanyakazi wanachekelea, lakin si ni Samia huyu huyu kakuta wanafaika wabodi ya mikopo wamezidishiwa deni lao na kusema haiwezekani hiyo rention fees iondolewe? ni Samia huyu huyu kawaondolea wanafunzi wa kitanganyika ada kuanzia cheke chea mpaka kidato cha sita? na bado kaanzisha madarasa mapya karibia nchi nzima. ni mengi mno aliyo yafanya ndani ya mda mfupi. Sasa. we mjinga ebu niambia Mama Samia Angekuwa na Chuki na Tanganyika angewafanyia haya ? nimesema tutayasema bila woga yale mazuri anayoyafanya mh. Raisi hata mkisema sijui tumepewa asali sijiu sukari. Huyu mama ataleta maendeleo makubwa mtakuja kumshukuru baaadae.
Ile kesi ya kipuuzi ya Mwabukusi inakwenda kushindwa na gharama zote za kuifungua zinakuwa juu yake.
 
Uwekezaji wa DPW ni mkubwa kulinganisha na haya makampuni yetu. DPW kawekeza Uingereza na Marekani kwa teknolojia za kisasa, hawezi akaingia tu Tanzania kama wawekezaji wengine wadogo wadogo.

Hii hoja ingekua na mashiko kama ungeleta fact kua DPW anawekeza kiasi gani kinachomfanya yeye kua mwekezaji wakipekee zaidi ya apo maneno yako yanabaki kua ni mtazamo wako na ayana maana yeyote
 
Tabiri ya sheikh yahya 2006 alisema baada ya rais kikwete kumaliza muda wake atakuja rais mwingine atafanya vitu vingi kwa kipindi kifupi alafu atakufa.hapo ndio mtapata rais mwanamke baada ya huyo upinzani utashika dola...🤔
 
Back
Top Bottom