CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Ni Utumwa!
Picha hii chini inaonyesha na kusema ilipo CCM....ni Aibu kweli
 
hongereni sana ccm mh Rais usisikileze kelele za wapigaji bandari hawa ni sawa na vita vya dawa za kulevya wauzaji wa madawa ukiwagusa tu kelele mwaka mzima
 
we utakuwa kada ama mtoto wa mama, nimefunga ukurasa.
Jibu hoja ,msingi wa hovyo kwako ni upi? Weka metrics hapa harafu useme unalinganisha na nani?

Sawa Mimi kada na wewe Pinga Pinga Kwa hiyo una shida zako binafsi kichwani.
 
Uelewa tu unakusumbua nenda Israel mwaka jana wao wameiuza kabisa bandari yao Haifa port kwa Adani group kwa bilioni 1.2 USD .unataka kuniambia waisraeli hawawezi kuijenga nchi yao?View attachment 2683361
Bado huja justify kwa nini waarabu wapewe makubaliano yasiyoisha, mind you hatujakataa uwekezaji, Ila uwekezaji wenye lengo la kunufaisha upande mmoja NO, Hafu usiniwekee link za kijinga Sio lazima tuwaige wao, kwa nini wasituige sisi,,,, mwisho Una ID ya kikristu halafu Sio mkristu tunawajua Nyie
 
Nyie ni wajinga tu hoja zenu ni zile zile, mukiulizwa huo mkataba wa kupewa bandari zote uko wapi mna kenua tu meno, chuki mbaya sana ndo inao wasumbua.
 
Chadema tangu aondoke Dr Makene utoaji wao wa taarifa mbalimbali umekuwa wa kusuasua sana

Kamati kuu ya Chadema imeketi jana kujadili hali ya Kisiasa Nchini na mkataba wa DP World Lakini wametoka Kimya kimya

Wenzao CCM wameketi leo Jioni na taarifa wameshatoa

Chadema mnafeli sana!
 
Hujibiwi. We endelea tu kusubiri
 
CCM wenyewe wamesemaje kuhusu hao DPW?
au ndio juhudi imeshaungwa?
 
Chama Tawala CCM leo Julai 9, kimeketi kujadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa kauli juu ya makubaliano ya Uwekezaji na Uendeshaji wa Bandari nchini (IGA) baina Serikali ya Tanzania na Emirates of Dubai.
 
Ata kama CDM hawajasema ila sisi tunajua fika kwamba huu mkataba ni wa kitapeli.
 
Kwani wewe unanihusu mpaka nisiongee ninayojisikia?
Kumbe waongeaongea tu unavyojisikia.
Mi si nlidhani na wewe wajipendekeza kuwa eti bandari yakuhusu. We endelea tu kusindikiza wenye bandari yao washaiuza
 
Kumbe waongeaongea tu unavyojisikia.
Mi si nlidhani na wewe wajipendekeza kuwa eti bandari yakuhusu. We endelea tu kusindikiza wenye bandari yao washaiuza
Yes naongea ninavyojisikia inakuuma kwani?!, bandari kaiuza Kumbe mnamtetea nini Huyo mama, soon na yeye ataenda kula urojo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…