Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Hakuna watanzania wangewekeza huko bandarini? Mpaka u justify kupewa waarabu kwa muda usioisha?Hasira zako zinatokana na uelewa wako mdogo tu manufaa ya kuwekeza bandarini ni makubwa na faida kwa maendeleo ya taifa