Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Unaona tatizo lilipo? That way of thinking, yaani its just fine?Wenye Mali Wakiamua Kuna shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona tatizo lilipo? That way of thinking, yaani its just fine?Wenye Mali Wakiamua Kuna shida gani?
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==
View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==
View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==
View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Kwa kweli Daktari Samia anabubujisha watanzania machozi ya furaha.Hapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.
Government resources converted into Political party's resources!!.....CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
🤣🤣🤣🤣Kwa kweli Daktari Samia anabubujisha watanzania machozi ya furaha.
Muziki wenyewe sasa, " haram eeee, harambee mama harambeee, wapinzaniii tuwaleteee tuwachaneee chaneeee tuwatupeeee na CCM tuwaleteee tuwakumbatieeee tuwabusuuu....". Hakika safari yako itabamba sana Cadre Lucas Mwashambwa .Hapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.
Povuuu😂😂Acha povu kachukue hela Kwa kibaraka wenu Lisu Amsterdam katoa
Kifo halali yao maana lazima utawatupa mtaroni!Hapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.
Vipi ule mpambano wa wapigania matumbo mshindi kapatikana!Wezi wa kura na madalali wa rasilimali za nchi kazini
Yaani wewe umeshindikana 😂😂😂😂Hapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.