Sasa na hawa machawa huku jf itakuajeTulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Mkuu wewe acha tuNi aibu sana kama taifa kuwa na vijana wa aina hii
Maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasikia muda mfupi baada ya kusikia tamko la ccm kuwapiga stop pale pale akaqnguka chini kama papa bovu
Mzee kwangu unajisumbua am here to stay na Samia Hadi akome kuwa RaisPole sana ndugu CHAWA kwa kupigwa stop.
Basi tungeona uchawa kuisha baada tu ya Jiwe kutokuwepo tena maana si ni yeye tu ndio ambaye alikuwa anapenda kurambwa miguu.Jiwe alikuwa anapenda kupigiwa magoti na kurambwa miguu
Hahaha chawa wa mama.. Mama mwenyewe anasemaje kwaniWanajiandaa kuandamana kisa ccm imewapiga stop
Mimi nitaendelea kuwa Chawa wa Mwenyekiti wa CCM taifa.
Utakuwa sawa na kenge asiyesikia...[emoji23]Mimi nitaendelea kuwa Chawa wa Mwenyekiti wa CCM taifa.
Nikatae nini sasa mimi?Mimi nimeanalyse issue tu.Sasa umekataa kitu gani?😂😂😂
NJAA MBAYA SANA UCHAWA CCM HAUNA UMRITulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Daaah 🤔😪 sa itakuaje kwa akina Lucas mwashamba choiceVariable HIMARS Faizafoxy covax?Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Ushawahi sikia wapi mimi nikijitambulisha hivyo?Cc. Lord denning ukatafute njia nyingine ya kupata ugali, usitukasirikie humu.
Na kawaida CHAWA huwa hana aibu na akili zake ni sawa na KUNGUNI tu.NJAA MBAYA SANA UCHAWA CCM HAUNA UMRIView attachment 2709791
It is a death penalty to the prosperity of the country, sadHii tabia ya kujipendekeza na kujikomba iliasisiwa na Jiwe
Chawa kasandaWe
Wewe chawa mmeambiwa muache uchawa, bado unaendelea.
Machawa wameonekana kutotumia facts katika kuitetea hoja za chama na serikali badala yake wanatumia mihemuko na ushabiki zaidi na wakati mwingine kuharibu mtazamo wa chama ktk mambo ya msingi ya kitaifa.
Je hii sababu unaionaje?