CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

Sasa na hawa machawa huku jf itakuaje
 
Nasikia muda mfupi baada ya kusikia tamko la ccm kuwapiga stop pale pale akaqnguka chini kama papa bovu
Maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na yale manyuzi yake

Karibu Mtaani Mwashamba tupambane[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ugali wa bure haupo tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe alikuwa anapenda kupigiwa magoti na kurambwa miguu
Basi tungeona uchawa kuisha baada tu ya Jiwe kutokuwepo tena maana si ni yeye tu ndio ambaye alikuwa anapenda kurambwa miguu.
 
Yaani hii nchi imejaa upuuzi mwingi mno
 
NJAA MBAYA SANA UCHAWA CCM HAUNA UMRI
 
Daaah 🤔😪 sa itakuaje kwa akina Lucas mwashamba choiceVariable HIMARS Faizafoxy covax?
 
Mimi nitaendelea kuwa Chawa wa Mwenyekiti wa CCM taifa.
Aibu sana kwenu nyinyi machimia tumbo.

Ebu mjiongeze kidogo maana mshakatazwa na mwisho wa siku mtafukuzwa na uanachama kabisa.
 
Chawa kasanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…