Hata baiskeli na pikipiki vinaibiwa ni vema kuweka tahadhari kama kupiga loki, gps, kuomba uangaliziwe, n.k.Asante kwa kutukumbusha japo mi nina baiskeli
Kuna kitu karushaJAMAA SIJUI KAPIGA NA NGUMI AU KITU GANI MAANA CHAP KIOO KIKAPASUKA
Hit and runJAMAA SIJUI KAPIGA NA NGUMI AU KITU GANI MAANA CHAP KIOO KIKAPASUKA
Ndio Nini,Kuna kifaa kinaitwa hivyo?rubbishHit and run
Sawa mkuu maana ikiibiwa baiskeli yangu ya 50k niliyoitafta kwa miaka 10,ntajinyongaHata baiskeli na pikipiki vinaibiwa ni vema kuweka tahadhari kama kupiga loki, gps, kuomba uangaliziwe, n.k.