CDF Gen. Mkunda tafadhali tupitie pamoja hizi baadhi ya Kauli za Raia waliopokea Kipondo cha MP wako Lugalo na Kauli za Wazazi wao kisha tuzielewe

CDF Gen. Mkunda tafadhali tupitie pamoja hizi baadhi ya Kauli za Raia waliopokea Kipondo cha MP wako Lugalo na Kauli za Wazazi wao kisha tuzielewe

Hivi nani aliamua kuwa ukivaa gwanda unakuwa mnyama?

Mbona wajeda duniani tunapishana nao kama hawapo vile
Na raia wamezidi woga pia
Kuna siku kashuka mwanajeshi kwenye lorry, fala mmoja akaropoka ooh huyo peke yake anaweza akawapiga watu 10 tena bila silaha
Nilibaki nacheka tu na kusononeka pamoja
Yaani wamekuwa SAS sasa
Yaani dereva daa
Acheni kuwapa vichwa hao
Mkuu wa majeshi atoe tamko ni marufuku mjeda kwenda kupiga raia kisa kavaa gwanda na marufuku kuitana kisa mmoja wao kalewa au kazidiwa kete na dume kwa mwanamke halafu anaenda analia kambini na kuja na battalion kama wanaingia vitani
Ajabu ni nini? si kama Israel tu umewauliwa watu wao na wanakuja kama hawana macho na hawa wanajeshi mmeuwa mmoja wao na wao wanafyeka Gaza ya bongo ni kawaida tu. Hawa waendesha bodaboda tu wewe pigana na mmoja utawaona wanakuja kama nyuki. Vumilieni tu uchokozi mmeanza nyinyi jeshi lina haki ya kujilinda.
 
Ajabu ni nini? si kama Israel tu umewauliwa watu wao na wanakuja kama hawana macho na hawa wanajeshi mmeuwa mmoja wao na wao wanafyeka Gaza ya bongo ni kawaida tu. Hawa waendesha bodaboda tu wewe pigana na mmoja utawaona wanakuja kama nyuki. Vumilieni tu uchokozi mmeanza nyinyi jeshi lina haki ya kujilinda.
Mimi niko Bangladesh wala siko huko nimechangia tu
Hao boda nao kweli ni wamoja kama ukiwaibia pikipiki au ukimdhulumu mmoja wao
Vipi ulikula kisago au
Kazi ya jeshi sio kupiga tu hivyo ni ushamba

Nilipita huko kwa taarifa yako tena nje ya nchi
 
Mimi niko Bangladesh wala siko huko nimechangia tu
Hao boda nao kweli ni wamoja kama ukiwaibia pikipiki au ukimdhulumu mmoja wao
Vipi ulikuwa kisago au
Kazi ya jeshi sio kupiga tu hovyo ni ushamba

Nilipita huko kwa taarifa yako tena nje ya nchi
Hapana hawajahi ila kuna siku nilipishana nao wanaenda kumzika mwenzao sasa fujo walizokuwa wanafanya barabarani utasema wako juu ya sheria wakaanza kubamiza gari kunilazimisha nisimame lakini nilikuwa na chuma nikasema wakivuka mipaka yao tutajuana lakini nikajitahidi ku control hasira kwa ufupi mimi sina huruma na hawa jamaa, wao wanashirikiana kuwafanyia fujo wengine bila kujali nani anakosa sasa hakuna dhambi wanajeshi kushirikiana na wao waonje joto. Wanastahili kichapo.
 
Kunya anye kuku ila akinya bata kaharisha ngoja tule ndizi kwani nyama tutazikuta chini
 
Hapana hawajahi ila kuna siku nilipishana nao wanaenda kumzika mwenzao sasa fujo walizokuwa wanafanya barabarani utasema wako juu ya sheria wakaanza kubamiza gari kunilazimisha nisimame lakini nilikuwa na chuma nikasema wakivuka mipaka yao tutajuana lakini nikajitahidi ku control hasira kwa ufupi mimi sina huruma na hawa jamaa, wao wanashirikiana kuwafanyia fujo wengine bila kujali nani anakosa sasa hakuna dhambi wanajeshi kushirikiana na wao waonje joto. Wanastahili kichapo.
Pole sana na kadhia zao
Ila uliamua na kutuliza munkar la sivyo nawe ungekuwa kama Ditopile
Nimekuelewa vizuri
 
A very unprofessional army.
Nyie wakubwa chekeni tu na hayo manyani ma mp Kuna siku mtavuna mabua.
Jeshi gani uliona linapiga raia Tena wanawake wasio na silaha Wala hatia.
Unajiita mwanajeshi wa kiume halafu unapigana na wamama? Hata panya hafanyi hivyo.
 
Pole sana na kadhia zao
Ila uliamua na kutuliza munkar la sivyo nawe ungekuwa kama Ditopile
Nimekuelewa vizuri
Sana kama ukishindwa kuhimili hasira zako unaweza kufanya jambo baya na ukajuta baadae, ni wakorofi sana hao ukikosana na mmoja wao wanakuja kama mbwa mwitu bila kujali nani ana makosa sasa jeshi wanawajuwa hawa ndio maana wanawapa kipigo. Mimi sina huruma nao sababu najuwa tabia zao.
 
Majeshi yenye akili Kama kikundi Cha wanaume wa Hamas wanadiriki kuingia Israel kupiga na kuteka wanajeshi na makomandoo. Majeshi m3ngine yanavamia Kawe na kupiga wanawake na vikongwe.
Kimataifa halina sifa ya kuitwa jeshi Bali kikundi Cha wahuni.
 
Tunaamini jeshi la JWTZ katika jeshi lenye wasomi ni lenyewe lakini kuna baadhi ya mambo wanafanya hayana mantiki na weledi.
Tunafahamu fika kwao ni tusi kubwa sana kwa mwanajeshi kupigwa na raia.Wao wanaona ni dharau kubwa sana.
Kuna mtu alishaniambiaga ukitaka kujenga usijenge karibu na kambi ya jeshi mwingine akaniambia ukitaka kujenga usijenge karibu na kambi ya askari wa Mizinga.

Haina mantiki mtu afanye kosa muende kulipiza kisasi kwa wapita njia ambao unaweza kuta hata mwingine alikuwa anakatiza tu njia hakai eneo hilo la Kawe.

Siku moja nilikuwa nakunywa na mwanajeshi mmoja MP rafiki yangu karibu na kambi yao bali yeye alikuwa ni mstaafu.Kanywa kaleta fujo kamwaga pombe za watu akapata kipondo kidogo sana .Akafunga safari maana ni hatua chache kwenda kuwaambia wenzake kuna raia kanipiga walimpuuza maana wanamfahamu
Chonde chonde katika jeshi ambalo mna mahusiano mazuri na wananchi ni JWTZ msifanye mambo ya kufanya wananchi wakawachukia.
 

Attachments

  • solder.PNG
    solder.PNG
    29.1 KB · Views: 9
Ajabu ni nini? si kama Israel tu umewauliwa watu wao na wanakuja kama hawana macho na hawa wanajeshi mmeuwa mmoja wao na wao wanafyeka Gaza ya bongo ni kawaida tu. Hawa waendesha bodaboda tu wewe pigana na mmoja utawaona wanakuja kama nyuki. Vumilieni tu uchokozi mmeanza nyinyi jeshi lina haki ya kujilinda.
Ngoja ikutokee kwako uko kazini urudi ukute mkeo anakuambia amepigwa na amebakwa utafuta hii kauli ya kipumbafu isiyo na mashiko tena naweza kusema wanajeshi wetu wana nidhamu nenda Congo,Sudan,Somalia ndio utaniambia
 
Wanakawe tumekubaliana kwa kauli moja kususia biashara zao zote hasa il mifremu na ile bar yao ale kona na hawa wanaotembea na dada zetu huku mitaani tutajua cha kufanya
 
Back
Top Bottom