CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

Ni miaka 3 imepita tangu Rais Magufuli afariki. Ni jambo la kawaida, hasa siku ya maziko au wakati wa kutangaza kifo, kutolewa taarifa za kina za mazingira ya kifo cha marehemu, na kama pengine marehemu alitoa kauli yoyote. Haikuwa hivyo kwa Hayati Magufuli.
Unajua mkuu sisi watz tunaishi Kwa kudra za Mungu Wala sio katiba kabisa Wala Sheria hazifuatwi!!

sasa. "Tumia akili"aliandika humid kwamba baada ya uapisho mama alipewa maelekezo kwamba 2022 "mwakani" kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba,uchaguzi was serikali za mitaa usubiri Hadi katiba mpya ipatikane na akaambiwa aunde Binge la katiba,lakini badala ya kuanza mchakato wa katiba akaanza kampeni za kusema 2025 atagombea na the state ipo na inaona hakuna chochote kilichofanyika!!

Sasa najiuliza Ina maana huo urais ni mkubwa sana kuliko hata Dola yaani Jamhuri ya muungano wa Tz!!?

Kuna shida kubwa sana aiseh!!!
kama Rais anaweza kuamua kutofata maelekezo ya wenye Dola na akaendelea kupeta na malengo yake no hatari sana!!

kasome"operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"Uzi wa march 28 ,2021!siku 11 baada ya jpm kufariki!
 
Unaweza kutudhibitishia juu ya yale waliyo yafanya hao ulio wataja?!, au ni ule mwendelezo wa zile propaganda zenu zinazoongozwa na chuki!?.
Kwani wewe hujamsikia General Venance Mabeyo? Au nyinyi ndiyo wale shuleni tulikuwa tunawaita VILAZA au WANYELA. Mwalimu anatufundisha wote lakini ukitoka nje hujui kitu
 
Siku akija raisi kama Magufuli hii issue ya kifo cha Magufuli itafukuliwa.

Samia alikuwa haaminiwi na vyombo vya ulinzi na usalama. Unadhani makamu angekuwa mwinyi angewekwa pembeni?
 
Andiko linajitosheleza, hongera Bams kwa kulitendea haki.

All in all pamoja na kuwa na CDF aliyenyooka, vilevile tumepata Rais muungwana sana.

Waliyoyafanya akina Bashiru Ally, Ndugai na Majaliwa Kassim Majaliwa kutaka kupora u-Rais wa Samia ni uhaini kwenye macho ya sheria. Lakini Samia bado anafanya kazi na Majaliwa Majaliwa na bado amewaacha Bashiru Ally na Ndugai kama wabunge
Ambapo pia huna ushahidi hata chembe, ni hisia tu za kipumbavu na kijinga
 
UJUMBE MUHIMU
Kuna shida kwenye katiba ya nchi. Kuna vitu havijawa sawa na kwa uwazi. Kwa maelezo ya CDF, ni kwamba ni yeye CDF ndiye aliyetoa msisitizo wa kuwa ni Makamu wa Rais ndiye anatakiwa kuwa Rais, na siyo mwingine yeyote. Tena ameeleza kuwa ni yeye CDF ndiye aliyeelekeza kuwa inabidi makamu wa Rais aapishwe kabla ya maziko ya Rais maana bila hivyo jeshi haliwezi kumtambua kama ndiye Amiri Jeshi Mkuu.
Siyo kweli kwamba amesema ni yeye aliye elekeza yote uliyo sema hapa.
Kwahakika ni yeye aliyesema raisi lazima aapishwe kwa gwaride la kijeshi na bendera ya amiri jeshi mkuu ipandishwe kutambulishwa vinginevyo jeshi halitamtambua kama amiri jeshi mkuu.
Ni yeye aliyesema raisi lazima aitwe amiri jeshi siyo amirati.
Mengine umeongea tofauti na alivyo sema katika mahojiano labda kwa makusudi au kimakosa.
 
Kuna vitu havijawa sawa na kwa uwazi. Kwa maelezo ya CDF, ni kwamba ni yeye CDF ndiye aliyetoa msisitizo wa kuwa ni Makamu wa Rais ndiye anatakiwa kuwa Rais, na siyo mwingine yeyote. Tena ameeleza kuwa ni yeye CDF ndiye aliyeelekeza kuwa inabidi makamu wa Rais aapishwe kabla ya maziko ya Rais maana bila hivyo jeshi haliwezi kumtambua kama ndiye Amiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia Rais mstaafu Kikwete, wakati Ndugai alipoondolewa kwenye nafasi ya uspika, alieleza kuwa Rais alipofatiki, spika alimwendea na kumwambia kuwa kwa mujibu wa katiba, yeye spika ndiye anatakiwa kuwa Rais. Yeye Kikwete alimkatalia
 
Kuna vitu havijawa sawa na kwa uwazi. Kwa maelezo ya CDF, ni kwamba ni yeye CDF ndiye aliyetoa msisitizo wa kuwa ni Makamu wa Rais ndiye anatakiwa kuwa Rais, na siyo mwingine yeyote. Tena ameeleza kuwa ni yeye CDF ndiye aliyeelekeza kuwa inabidi makamu wa Rais aapishwe kabla ya maziko ya Rais maana bila hivyo jeshi haliwezi kumtambua kama ndiye Amiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia Rais mstaafu Kikwete, wakati Ndugai alipoondolewa kwenye nafasi ya uspika, alieleza kuwa Rais alipofatiki, spika alimwendea na kumwambia kuwa kwa mujibu wa katiba, yeye spika ndiye anatakiwa kuwa Rais. Yeye Kikwete alimkatalia
 
Miaka 3 baadaye, baadhi ya taarifa za kina zimetolewa na CDF. Siamini kama taarifa hizi zimetolewa tu ili kujifurahisha, bali kuna ujumbe umetumwa kwa wananchi.[emoji419][emoji375]
 
Kuna vitu havijawa sawa na kwa uwazi. Kwa maelezo ya CDF, ni kwamba ni yeye CDF ndiye aliyetoa msisitizo wa kuwa ni Makamu wa Rais ndiye anatakiwa kuwa Rais, na siyo mwingine yeyote. Tena ameeleza kuwa ni yeye CDF ndiye aliyeelekeza kuwa inabidi makamu wa Rais aapishwe kabla ya maziko ya Rais maana bila hivyo jeshi haliwezi kumtambua kama ndiye Amiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia Rais mstaafu Kikwete, wakati Ndugai alipoondolewa kwenye nafasi ya uspika, alieleza kuwa Rais alipofatiki, spika alimwendea na kumwambia kuwa kwa mujibu wa katiba, yeye spika ndiye anatakiwa kuwa Rais. Yeye Kikwete alimkatalia
Hiyo paragraph ya pili ni urongo mtupu 🐼
 
Mpumbavu ni wewe ila siju zote wapumbavu hawajijui japo wengine wote wanawatambua. Pole Nsanzagee , hicho nacho ni kilema
Ndivyo ilivyo siku zote za mtu mpumbavu na mjinga, siku zote hujihesabia ni bonge la msomi!

@stunxnet: tukikuficha itakuwa dhambi kwetu, lazima tukwambie ukweli ili ikusaidie! Wewe ni mjinga na mpumbavu! Jielimishe!

Nimekuuliza, Je unaushahidi wowote kuwahusu uliowataja kwamba wanahusika moja kwa moja na huo upumbavu unaousema hapa?

Kumbuka pia, Duniani mwogope Mungu na technology

Ukishajua hilo, anza kujua pia, haujajificha upo peupee pe
 
Njoo na points za kunipinga, siyo kusema tu kiurahisi eti "chawa wa mama"!!

Yaani niache kusifia maendeleo na mafanikio ambayo nayaona nchini kusa eti baro ataniita chawa wa mama!!

Nyinyi mliokuwa chawa wa Magufuli mlikuwa mnamshangilia wakati anaharibu na kubomoa nchi. Amekufa na mama anarekebisha kwa speed ya 5G mnaumia
Jamaa kelele zote Zile Pinga Pinga yote kipindi cha Mzee Baba nahsi uliguswa sehemu tu aisee, Wewe leo wakusifia Uongozi huu? Njaa mbaya sana
 
Ni miaka 3 imepita tangu Rais Magufuli afariki. Ni jambo la kawaida, hasa siku ya maziko au wakati wa kutangaza kifo, kutolewa taarifa za kina za mazingira ya kifo cha marehemu, na kama pengine marehemu alitoa kauli yoyote. Haikuwa hivyo kwa Hayati Magufuli.
Shida yangu moja tu , kweli tz tupo na wataalam wa afya sikatai , na vifaa tiba tunavyo pia ila sio katika level za wenzetu kwenye mataifa yaliyoendelea

Swali ambalo Mabeyo ameniacha nalo ni kwa nini kiongozi wa nchi iliamuliwa kubanana nae kwenye hospital zetu hapa nchini mpaka mauti yanamkuta bila kutofanya juhudi za kumfikisha kwenye baadhi ya nchi ambazo level zao za matibabu zipo juu zaidi ya sie?
 
Ndivyo ilivyo siku zote za mtu mpumbavu na mjinga, siku zote hujihesabia ni bonge la msomi!

@stunxnet: tukikuficha itakuwa dhambi kwetu, lazima tukwambie ukweli ili ikusaidie! Wewe ni mjinga na mpumbavu! Jielimishe!

Nimekuuliza, Je unaushahidi wowote kuwahusu uliowataja kwamba wanahusika moja kwa moja na huo upumbavu unaousema hapa?

Kumbuka pia, Duniani mwogope Mungu na technology

Ukishajua hilo, anza kujua pia, haujajificha upo peupee pe
Hata Biblia imetukataza kubishana na wapumbavu; Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake, usije kuwa sawa naye...
 
Magufuli aliharibu nchi wapi??
Embu toa ufafanuzi.
Miradi mingi mama anayotamba nayo ni ile kipindi cha Magufuli iliyoanzishwa.
Kwani miradi ndiyo nini? Magufuli alikuwa DIKTETA, akanyamazisha bunge na kutuachia bunge la chama kimoja, akaitisha mahakama, akanyamazisha vyombo vya habari.

Mbaya zaidi alikuwa anateka na kuua wapinzani. Alikuwa anachukia matajiri. Mtu yule hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji kwa namna ya roho ya kimaskini aliyokuwa nayo
 
Shida yangu moja tu , kweli tz tupo na wataalam wa afya sikatai , na vifaa tiba tunavyo pia ila sio katika level za wenzetu kwenye mataifa yaliyoendelea

Swali ambalo Mabeyo ameniacha nalo ni kwa nini kiongozi wa nchi iliamuliwa kubanana nae kwenye hospital zetu hapa nchini mpaka mauti yanamkuta bila kutofanya juhudi za kumfikisha kwenye baadhi ya nchi ambazo level zao za matibabu zipo juu zaidi ya sie?
Magufuli alikuwa na mapungufu mwilini hivyo kusafiri naye kwenye ndege angefia angani. Aliwekewa defibrillator kifuani mwaka 1992 akiwa anasoma UDSM. Sasa miaka zaidi ya 30 kile kifaa kilikwisha choka. Na ndiyo sababu ya yeye kutopenda kusafiri nje ya nchi na wala haikuwa kubana matumizi
 
Jamaa kelele zote Zile Pinga Pinga yote kipindi cha Mzee Baba nahsi uliguswa sehemu tu aisee, Wewe leo wakusifia Uongozi huu? Njaa mbaya sana
Nitajie kitu kinapungua uongozi huu nami nikupe rekodi ya mafanikio ya mama.

Halafu wewe pimbi acha kuishi kwa kukariri. Hatuko hapa kupingapinga kila kitu cha Serikali. Serikali inapofanya mazuri lazima tuisifie.

Yule mshenzi alikuwa anaua wanaomkosoa, alisimamisha mikutano ya wapinzani, akatengeneza bunge butu na aliitishia Mahakama. Ulitaka nimsifie UJINGA?

Yote haya yamekoma sasa hivi, tunaishi kwa amani, kwanini Samia asipewe mpaka 2030
 
Back
Top Bottom