Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Acha ubaguziMaslai gani amejali
Mm ningeshukru Zaid Kama ingetokea kuwa rais awe mmbara kwa vyovyote I wavyo ila siyo makamu kuwa rais ,makamu atabaki na unakamu wake Hadi kipimdi chake kiishe
Hapa kwa mujibu wa hoja yako leo nimepata kitu kipya kbsa ilikuwa siijui
Coz aliiona watu walivyokirahisisha kutaka kumpora uraisNakumbuka huyu Rais wa sasa alisema katiba ni kijitabu tu
Yaani hapa CDF ndio angejitwalia utukufu aisee, angeadhibu wahuni wote wasionheshimu katibaWale jamaa wanavyipindisha matokeo ya Uchaguzi kila leo wakadhani watapindisha na hilo.
Inaonekana wana nguvu kubwa na backup ya kutosha.
CDF walimwogopa sababu ana mitulinga[emoji1][emoji1]
Angepiga kichapo hadi wanyooke.Yaani hapa CDF ndio angejitwalia utukufu aisee, angeadhibu wahuni wote wasionheshimu katiba
Nadhani hapa Ishu ya Ben na yule Mwandishi wa Mwananchi yalitamkwaMwandishi wa daily news alitakiwa aulize siku na tarehe hayati aliyoomba aitiwe padri na kadnali pengo Ili wampe Toba
Hili swali namimi sijalipatia majibu.Mwandishi wa daily news alitakiwa aulize siku na tarehe hayati aliyoomba aitiwe padri na kadnali pengo Ili wampe Toba
Naunga mkono hojaBasi ndio maana Jobo hakudumu kwenye awamu hii.
Ungefanyika uchaguzi mdogo akapatikana raisi wa hovyo, Leo hii nyimbo ingekuwa walitengua katiba. !Tulipaswa kufanya uchaguzi mdogo, siku tutakuja kuwa na rais wa hovyo kwa sababu tu katiba inataka makamu : sio kila makamu anafaa kuwa Rais , ndio maana nchi inayumba sana kwa sasa.
Katiba mpya ni muhimu ; tukiwa na tume huru, sidhan kama CCM itapata hata asilimia 10% ya kura. EDO alitusibitishia, CCM bila wiz hawawezi kwenda ikulu
Lakini ndicho kilichompa huo urais. Anapaswa akiheshimu sanaCoz aliiona watu walivyokirahisisha kutaka kumpora urais
Eti naye alitaka ndio awe Rais? CCM wamesababisha kila kichaa anaona Urais ni Jambo simple tu.Kwamba ndugai kafanyaje
Ahaaa kweli hii inachekrsha sana,katiba watunge wao na hawaielewiEti naye alitaka ndio awe Rais? CCM wamesababisha kila kichaa anaona Urais ni Jambo simple tu.
Unaweza jua ni joti πNaunga mkono hoja
Nani huyo kaka ππ€£Unaweza jua ni joti π
Tiririka na koment mkuuNani huyo kaka ππ€£
Hivi kuna mwana CCM asiye na tamaa?Alioneka ana tamaa wakamfyatua..
[emoji28][emoji28]CDF alitukosea heshima sn tulipaswa kufanya uchaguzi