Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Yani hata wasiojua kuiba wanaiba mpaka wanaharibu sanaa nzima ya kuiba 🤣🤣🤣Mkuu CCM wameharibu system nzima kila mtu anaiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hata wasiojua kuiba wanaiba mpaka wanaharibu sanaa nzima ya kuiba 🤣🤣🤣Mkuu CCM wameharibu system nzima kila mtu anaiba
Maza wakati anaingia alikuwa hajui kuiba sahivi kaingiza na familia yake nzima nzima, mzee maana anaiba halafu mzigo bado upo wa kutosha wajinga wanashangilia.Yani hata wasiojua kuiba wanaiba mpaka wanaharibu sanaa nzima ya kuiba 🤣🤣🤣
Siyo KM ni KMK= Katibu Mkuu KiongoziWakuu naombeni kujua KM ndio nani na cheo gani maana huyu ameongelewa sana akiwa anaongoza jopo la kukataa makamu asiwe rais. Ni mmeshindwa kujua ni nani
Hapo mwisho kuna point kubwa sanaNdiyo mjifunze sasa kwamba Makamu wa Rais si pambo tu.
Siyo mtu wa kukata utepe kufungua miradi ya serikali, kuhudhuria sherehe na kupigia kelele habari za muungano na mazingira tu.
Ukimuweka mtu kuwa mgombea mwenza na Makamu wa Rais, umempitisha kuwa Rais muda wowote Rais akifariki.
Yani nchi inaweza kuwa kwenye vita, Rais akafariki, halafu huyo Makamu wa Rais akawa Rais na Amiri Jeshi Mkuu aongoze vita.
Imagine Vita vya Kagera tunapigana na Nduli Idi Amin Dada halafu Rais wetu Samia !
Hii ilikuwa wazi kabisa tangu anajiuzulu, zile sababu zilikuwa geresha tu.Basi ndio maana Jobo hakudumu kwenye awamu hii.
Shukrani niliona sehemu jamaa alikuwa anaandika KM ndio nilikuwa najiuliza KM ndio niniSiyo KM ni KMK= Katibu Mkuu Kiongozi
KM=Katibu MkuuShukrani niliona sehemu jamaa alikuwa anaandika KM ndio nilikuwa najiuliza KM ndio nini
Kwa sababu wanajua kwa mujibu wa Katiba ni mtu mmoja tu ndio huwa ana madaraka yooote !Asee watu wa ajabu sana , wakang'ang'ana kila mtu anaitaka nafasi
Aah,Hapo mwisho kuna point kubwa sana
Na ile ngazi ni kama imeshikiliwa na wachache ambao wanataka apite ambaye anawafaa wao. Asiyetaka longo longo ambaye sisi wananchi tunamtaka hafiki kwa ile ngaziTatizo Tanzania kila mtu ana matatizo yake, huyu dhaifu, huyu kichaa, huyu anapenda rushwa.
Yani ni kama vile ile ngazi ya kufika juu kwenye uongozi haiwezi kumuacha mtu salama.
Wanaofaa hawajulikani, wanaojulikana hawafai.
Choose your poison.
Watu wanasema tu lije litokee kama tutawezana utawasikia tu😅😅Aah,
Wabongo nawajua mnavyopenda jeshi nilijua mfano huo mtauelewa tu 🤣🤣🤣.
[emoji2][emoji2][emoji2]Aah,
Wabongo nawajua mnavyopenda jeshi nilijua mfano huo mtauelewa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mtu akipata shambulio la moyo huo muda wa kupiga story kama hizo utakuwepo kweli?Mwandishi wa daily news alitakiwa aulize siku na tarehe hayati aliyoomba aitiwe padri na kadnali pengo Ili wampe Toba
Hili sasa uunganishe na lile la TL kutopatiwa matibabu na ofisi ya huyu mheshimiwa ikiwa ni pamja na kukatwa mshahara wakeLakini pia Rais mstaafu Kikwete, wakati Ndugai alipoondolewa kwenye nafasi ya uspika, alieleza kuwa Rais alipofatiki, spika alimwendea na kumwambia kuwa kwa mujibu wa katiba, yeye spika ndiye anatakiwa kuwa Rais. Yeye Kikwete alimkatalia.
Hii sikupata isikia mwenye link tafadhaliLakini pia Rais mstaafu Kikwete, wakati Ndugai alipoondolewa kwenye nafasi ya uspika, alieleza kuwa Rais alipofatiki, spika alimwendea na kumwambia kuwa kwa mujibu wa katiba, yeye spika ndiye anatakiwa kuwa Rais. Yeye Kikwete alimkatalia.
Balozi wa mihogo Coco beach🤣ingia Instagrame yakeHuu msimamo wako unafanana kabisa na hulka ya huyo jamaa kwenye avatar yako. 😂🤣
Kuna mshua mmoja namuheshimu sana aliongoza taasisi ambayo ina historia ya kutoa wabunge, yani si viongozi wakuu tuu, mpaka wale waliowafuatia wakurugenzi walikuwa wakistaafu wanagombea ubunge na kupata.Na ile ngazi ni kama imeshikiliwa na wachache ambao wanataka apite ambaye anawafaa wao. Asiyetaka longo longo ambaye sisi wananchi tunamtaka hafiki kwa ile ngazi
Unatafuta kifungu gani cha katiba, ambayo tayari ni katiba mbovu?Kwa kifungu gani cha Katiba?
Naam,Mwandishi wa daily news alitakiwa aulize siku na tarehe hayati aliyoomba aitiwe padri na kadnali pengo Ili wampe Toba