CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Pengo la Mwinyi Kazimoto linaonekana.

Faulo kuelekea Simba

Oscar Joshua anapaisha baada ya deflection inakuwa kona....
 
Yanga kiasi sasa wanaonekana kutulia...dakika ya 35!
 
Yanga wameshatulia sasa........Simba wameanza kupwaya ple kati kati baada ya Mohammed Banka kutoka.....

So far mchezo kwa timu zote si mzuri.....Butua butua nyingi
 
Tegete offside alipata pasi nzuri sana toka kwa mwape
 
Simba wangekuwa na washambuliaji wazuri wangekuwa wameshafunga time hii......
 
Yanga wameshatulia sasa........Simba wameanza kupwaya ple kati kati baada ya Mohammed Banka kutoka.....So far mchezo kwa timu zote si mzuri.....Butua butua nyingi
Banka kashindwa kuziba pengo la Kazimoto!
 
wachezaji wote wameanza kucheza mipira, kiasi kwamba utamu unapotea
 
Uli na Mgosi muda wao umeisha waenda ile timu ya Muscat wakamalizie career kule......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…