CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

dakika ya 40 Simba 0 :Yanga 0
 
Naona simba wanacheza sana offside trick sasa taita anajikuta ameotea kila wakati
 
Jamani kwa mpira huu tusitegemee timu ya taifa kufanyaa maajabu....kwa kweli tuna safari ndefu ila twaga kwa kujikongoja....Twiga Stars are much better
 
Mrisho Yellow card dk ya 43
 
Jamani kwa mpira huu tusitegemee timu ya taifa kufanyaa maajabu....kwa kweli tuna safari ndefu ila twaga kwa kujikongoja....Twiga Stars are much better
Kweli kabisa maana timu hizi ndizo zinatoa wachezaji wa timu ya taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…