Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,358
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vibaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF

Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18


*Matokeo Kanda ya kusini*

MWENYEKITI
1. Suleiman Methew Luwongo kura 53 =59.55%
2.Cecil David Mwambe kura 31= 34.83%
3.Mansa A. Nyuchi kura 3= 3.37%
4. Willy T.Mkapa kura 02= 2.25%

MAKAM MWENYEKITI
1.Salum Khalfan Barwan kura 53= 59.6%
2.Mahadini Yusuph Mmoto kura 36 =40.4%

MWEKAHAZINA
1.Mario Efrem Millinga kura 54 = 60.7%
2.Zubeda Hassan Sakuru kura 35 =39.3%.
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vinaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF

Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18

..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vinaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF

Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18

Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
 
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vinaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF

Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18

Mapandikizi ya CCm yanafeli mnoooo!

CCM think wao wana akili sana zaidi ya anybody in the banana republic!

Guess what,you are not!

Yall bunch of shit showing monkeys,your mawe included!
 
Makapi yadhibitiwe. Ssio kufanya uchaguzi leo mwakani mtu anaunga mkono juhudi ili halikubaliki hata kidogo makapi yachujwe yote.
Tatizo ni ngumu sana kulijua kapi maana hata wale watu waliokuwa wanadhaniwa kuwa makini, mwisho wa siku walikwenda kupiga goti Lumumba. Bashiru keshasema ana barua kadhaa za wabunge wa Chadema wanaoomba kwenda CCM. Japo hii inaweza kuwa fix ila isipuuzwe pia
 
Ila angechukua ile fomu mnayoipenda basi ingekuwa habari. Hovyo sana wewe!
Hahahaaa.........hapo angeshinda Selasini au huyo nabii Lema ndio " wale wale " au wewe unaona tofauti bwashee sam?!!
 
Hoja ya msingi sana hii.

Kushiriki uchaguzi ni haki ya kikatiba ya kila mwanachadema na kila mwanachama anapokuwa karibu na wanachama wa vyama vingine siyo pandikizi wala msaliti.

Tunaposhangilia ushindi tukumbuke kutokuwapaka mavi wagombea wengi kwa hoja za kitoto za pandikizi la chama fulani.

Kama wameshindwa kwa uhalali tuwatie moyo na kuwaunganisha ili wasilete migogoro ya ndani kwa ndani.

Ni muhimu sana kuwa na wanachama wanaoheshimiana na kuaminiana vinginevyo kinapoteza hadhi ya kuwa chama na kugeuka kuwa genge la wahuni tu.
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
 
Back
Top Bottom