monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Safi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Unaweka mno ushabiki. Hata kama hamumtaki sio lazima mseme. Hamkisaidii hiki chama badala yake mnazidisha makundi na kuzidisha uhasama. Kama mna watu wenu mngewateua tu kama wenyeviti wa mtaa wa ccm ijulikane mojaHabari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vinaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF
Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18
Hahahaaa.........hapo angeshinda Selasini au huyo nabii Lema ndio " wale wale " au wewe unaona tofauti bwashee sam?!!
Naunga mkono hoja , kushindwa ni sehemu ya demokrasia hatuna haja ya kuwakejeli walioshindwa hata kama hatukuwaunga mkono..cdm mnatakiwa mvumiliane.
..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.
..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia
mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Kwanini isiwe UENYEKITI?Nyani haoni kundule,watendaji kata walikimbia nini
Kama makapi unamaanisha waliotoka CCM, hata huyo Mathew alitoka huko.Makapi yadhibitiwe kwa ili nipo na chadema 100% sio kufanya uchaguzi leo mwakani mtu anaunga mkono juhudi ili halikubaliki hata kidogo makapi yachujwe yote.
Huyu mwambe in pandikizi LA Magufuli.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukiishaanza kula nyama ya binadamu huwezi kuacha. Kila mtu Chadema mwenye mawazo tofauti ni pansikizi. Ni mamluki. Tabia hiyo ya kuitwa hivyo siku moja itamkuta Lema, itamkuta Msigwa, itamkuta Heche, itamkuta Mnyika, itamkuta Mbowe na itakukuta hata wewe Retired! And that will be the end of Chadema.
Maskini ya Mungu dogo hajui hilo. Labda umfahamishe kuwa mpaka mwaka 2015, Selemani Mathew alikuwa diwani wa CCM katika moja ya kata za Kigamboni, Dar es Salaam. Kisha akaenda kugombea ubunge Mtama kupitia CCM akashindwa na Mh. Nape. Ndipo akaenda Chadema.Kama makapi unamaanisha waliotoka CCM, hata huyo Mathew alitoka huko.
Panapo majaliwa tunasubiri pia kuona hapo mwakani Membe atakapochukua form kugombea nafasi ya kuteuliwa kugombea urais huko kwenu itakuwaje.Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
Maoni yako ni sawa kabisa, hata mimi pia nimeliona hilo.Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Mbowe kafanya yake tena haa
Thanks GT..cdm mnatakiwa mvumiliane.
..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.
..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Kweli kabisa ndg yangu TsafuRD.Ndo demokrasia huo. kwanini wengine wanahisi kila anatetea nafasi akiangushwa basi ni hujuma. Acheni demokrasia ifanye kazi yake.
Apishe huko mamluki MKUBWA huyo! Naamini ataenda CCM muda wowote!Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Chadema Cecil Mwambe ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kuangushwa vinaya na mpinzani wake Suleiman Mathew.
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imekwenda kwa Salum Baruhan ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Lindi mjini kupitia CUF
Kushindwa kutetea nafasi yake kwa Cecil Mwambe ambaye pia ni mgombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa inaonyesha ni salaam maalum za wanachadema kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa chama hicho Desemba 18
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Chadema zaidi ya kaole
Huyu mwambe in pandikizi LA Magufuli. Safiiiiiiii