LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Swala LA kuacha ni haki yake, pia kutoacha ni haki yake.cha msingi anayetaka kumpinga achukue fomu wanachadema wataamua wanamtaka nani.angalau kwa hili niwapongeze chadema, kuliko ccm nafasi ya mwenyekiti marufuku mwingine kuchukua fomu.Alipaswa kuacha nafsi hiyo wazi kwa mwanacdm halisi. Nijuavyo mimi watu hushawishiwa kuchukua nafasi, na watu hao wapo ndani ya cdm. 2010 Slaa hakuwa amejiandaa kugombea urais, bali alishawishiwa. Hata sasa hilo lilipaswa kufanyika.