Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.
Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.
Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.