Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.


Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
 
Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Siyo lazima kila mstari utaoandikwa ukufurahishe kuna dawa ni tamu na nyingine chachu kikubwa upone
 
Kwa bahati mbaya hata aliyeshinda alikua ccm na alihamia cdm siku moja na Mwambe.
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
 
Kachukue uenyekiti wa Mh Magufuli tusipotezeane mida
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
 
Kwa mazingira ya sasa bado Mbowe anahitajika cdm kuliko wakati wote hebu siumesikia Lisu anakuwa Makamu mwenyekiti ni maandalizi ya Mbowe kuachia uenyekiti Ila kwa sasa nakushauri usijiingize kwenye porojo za lumumba kumbuka chama cha upinzani kilichobaki kwa sasa ni cdm na Mbowe ndio kisiki hebu niambie leo hii kama si Mbowe labda angekuwa Mwenyekiti Zitto...au Slaa..au Arfi nipe muono wako wa chama kingekuwaje! chama kimejemgwa kwa gharama kubwa haitakiwi kiumizwe eti sababu Mbowe Mwenyekiti wa muda mrefu! ujinga huo wauseme ccm wanasababu zao wamekoa bei ya Mbowe lkn Sisi tunaoangalia siasa za sasa zinavyokwenda Mbowe natakiwa abaki kuhakikisha wakina Lisu wanakamati Uongozi watu ambao chama ndio kimekuwa msaada kwao sio hao waliokuja na mafuriko! thank twice brother

Huo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
 
Ukiona wana watu wao na wewe chagua wako ngoma iwe droo kila mtu ashinde mechi zake
Unaweka mno ushabiki. Hata kama hamumtaki sio lazima mseme. Hamkisaidii hiki chama badala yake mnazidisha makundi na kuzidisha uhasama. Kama mna watu wenu mngewateua tu kama wenyeviti wa mtaa wa ccm ijulikane moja
 
Wewe mwenyewe haujipendi utawezaje kuipenda CHADEMA?kaendelee kutumia vidonge vyako vya kupunguza ukichaa
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.


Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
 
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.

Figisu gani, kuna box lolote la kura limetolewa ndani ya chumba cha kupigia kura? Kuna machafuko yoyote yametokea wakati wa upigaji kura? Sumaye kashindwa kihalali na kidemokrasia, akae pembeni kiroho safi. Hakuna anayekunyima kuamini maneno ya Sumaye, ila ukweli ni kuwa Sumaye alizoea siasa za mbeleko za kupita bila kupingwa. Kama alihonga ili abaki mwenyewe kisha apite bila kupingwa, basi ameingizwa mjini. Arudi ccm haraka kwenye siasa za mbeleko na figisu za kishenzi.
 
Kwa bahati mbaya hata aliyeshinda alikua ccm na alihamia cdm siku moja na Mwambe.

Ila wangalau ana msimamo na tuliona hata alipofanyiwa figisu na Nape bado alisimama imara. Na kashafanyiwa majaribio mengi ya kwenda kuunga juhudi lakini kagoma. Huyo Mwambe kapigiwa promo la wazi na Magufuli unategemea nini? Hapo wote ni mashetani lakini kachaguliwa shetani mwenye afadhali.
 
Figisu gani, kuna box lolote la kura limetolewa ndani ya chumba cha kupigia kura? Kuna machafuko yoyote yametokea wakati wa upigaji kura? Sumaye kashindwa kihalali na kidemokrasia, akae pembeni kiroho safi. Hakuna anayekunyima kuamini maneno ya Sumaye, ila ukweli ni kuwa Sumaye alizoea siasa za mbeleko za kupita bila kupingwa. Kama alihonga ili abaki mwenyewe kisha apite bila kupingwa, basi ameingizwa mjini. Arudi ccm haraka kwenye siasa za mbeleko na figisu za kishenzi.
Vip mwenyekiti wenu ambae amekaa 15yrs?
 
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.


Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.

Kama ulikuwa unaona kura yako ni kubwa kama nyumba ungeingia ukae humo ndani, na safari hii usiwape tena hao cdm. Kampe Magufuli ili asilazimishe kupita bila kupingwa, hamna mtu anahitaji kura ya mnafiki yoyote. Usisubiri cdm izinduke, anzisha chama chako mkae mnaojitambua, na ili kuonyesha mnajitambua, kura zenu mpeni mgombea wa ccm.
 
Huo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
Kwa sasa kumlaumu mbowe ni kumuonea, Leo mbowe kasema yeyote anayejisikia kuchukua fomu ya nafasi yoyote achukue, wanachadema wataamua.kosa LA mbowe ni nini
 
Kwa sasa kumlaumu mbowe ni kumuonea, Leo mbowe kasema yeyote anayejisikia kuchukua fomu ya nafasi yoyote achukue, wanachadema wataamua.kosa LA mbowe ni nini

Alipaswa kuacha nafsi hiyo wazi kwa mwanacdm halisi. Nijuavyo mimi watu hushawishiwa kuchukua nafasi, na watu hao wapo ndani ya cdm. 2010 Slaa hakuwa amejiandaa kugombea urais, bali alishawishiwa. Hata sasa hilo lilipaswa kufanyika.
 
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Watiwe moyo upi. Kwani hawajui katika ushindani Kuna kushinda na kushindwa!!? Kama vipi waishie, Chadema ni imara kama Simba.
 
Back
Top Bottom