Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Tangu lini ccm wakawashauri viongozi wazuri wa kuwaongozeni,
Kikubwa wao wanataka viongozi cheap wa kuwanunua, nadhani walionunuliwa mnawakumbuka

Hao walionunuliwa 95% walipokelewa na hao hao kina Mbowe, kwa mtindo wa mwendo kasi kupitia mafuriko fake ya Lowassa.
 
Mahali popote kiongozi akikaa madarakani zaidi ya miaka 10, box la kura huwa kiini macho zaidi.

Bado ni hisia nipe ushahidi!

Kwa jinsi ccm na msajili hawaipendi cdm,aisee lazima ungekuta washamtoa lazima!

Mbowe ni extra popular mle cdm,dont make a mistake!
 
Bado ni hisia nipe ushahidi!

Kwa jinsi ccm na msajili hawaipendi cdm,aisee lazima ungekuta washamtoa lazima!

Mbowe ni extra popular mle cdm,dont make a mistake!

Ni kweli Mbowe ni kiongozi mzuri sana, lakini miaka 15 ni tosha sana kwake. Sina shaka na hili.
 
Mbowe akifa lissu anakuwa mwenyekiti. Mbowe akifungwa lissu ataongoza chama akiwq Brussels. Just a joke with the truth in it.
 
Uhalali wa kumpinga Magufuli kuondoa ukomo wa urais mmeutoa wapi kama nyie wenyewe ndani kwenu kuna ufalme na uzandiki zikiwemo figisu na drama za wazi?
Pitia popote kama kuna mahali nimewahi kuunga mkono kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Ukipaona unitag nipigwe ban ya milele. Usije kichwa kichwa ukadhani tunafanana kwa kila kitu. Kama una hasira zako kaa kushoto.
 
Uhalali wa kumpinga Magufuli kuondoa ukomo wa urais mmeutoa wapi kama nyie wenyewe ndani kwenu kuna ufalme na uzandiki zikiwemo figisu na drama za wazi?

Unaniambia utoto gani dogo, nimekuambia mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, saa hii unaniambia uhalali wa kumpinga Magufuli nautoa wapi!? Au ww ni robot basi unatoa kile ulichomezeshwa? Onyesha mahali popote mimi ninapounga mkono kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka 10.
 
Tatizo ni ngumu sana kulijua kapi maana hata wale watu waliokuwa wanadhaniwa kuwa makini, mwisho wa siku walikwenda kupiga goti Lumumba. Bashiru keshasema ana barua kadhaa za wabunge wa Chadema wanaoomba kwenda CCM. Japo hii inaweza kuwa fix ila isipuuzwe pia
Kumuamini bashiru ni sawa na kusubiri tikiti lianguke chini ya mnazi.
 
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Wewe shughulikia huko kwenu huku kwa Jirani hakukuhusu, tunasubiri kuona na nyie democrasia yenu inavyohubiriwa pale membe atakapochukua form kupambana na nduli
 
Siyo lazima kila mstari utaoandikwa ukufurahishe kuna dawa ni tamu na nyingine chachu kikubwa upone
Acha uhuni tumia akili. Unaelewa huyo ana nafasi gani kwenye chama? Chadema sio ya viongozi wakusema maneno mradi yamekuja mdomoni bila kuchuja athari zake ndio maana Molemo amenielewa kakaa kimya.
Hayo mambo ya kurupoka ropoka hata majukwaani na kutoa maneno ya hovyo hata kutukana tumemwachia meko wenu ambaye vibaka walio kusanyika wakishangilia yeye ndio anapamba moto kuhorojoka.
 
Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Umeona!? ninyi siyo mbadala wa wale...ninyi ni wale wale. Tusubiri 18 Desemba.
 
Huo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
Tukiruhusu kila mtu na aje na sababu Zake za kutaka mbowe aachie kiti kama fikra za maji machafu, basi chadema kitakufa asubuhi tu, embu itoshe tu wewe kuwa mtazamaji mengine waachie wenyewe, ww kachukue buku7 yako.
 
Unaniambia utoto gani dogo, nimekuambia mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, saa hii unaniambia uhalali wa kumpinga Magufuli nautoa wapi!? Au ww ni robot basi unatoa kile ulichomezeshwa? Onyesha mahali popote mimi ninapounga mkono kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka 10.

Japokua unaonesha hali ya kupinga ufalme ndani ya chama, je CDM kama chama wana uhalali wa kupinga kuondolewa ukomo wa uraisi?

Kwa nn wasipigane na adui wao wa ndani kisha watoke nje tuungane wote ( watz wote tukiwa tunawaona ni wasafi) twende tukapigane na wadhulumaji ccm?

Una kili kua CDM haina uhalali wa kuihoji CCM kwa lolote lile? (Hapa ndo useme ndiyo au hapana)

Je unafahamu kua licha ya kua Mbowe ni kiongozi shupavu lkn mbele ya macho ya watz wa kawaida ni doa kubwa?
 
Wangalau hizo kura zihesabiwe hadharani, japo hata iwe vipi kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka 15 kwangu hainiingii akilini. Tena ikibidi hao viongizi watakaogombea wawe sehemu ya wahesabu kura. Kinyume na hapo kwangu huo uchaguzi ni igizo kama maigizo mengine.

Nimewapongeza sana cdm pale walipopiga kura za ndio na hapana kwa mgombea mmoja. Pale wamefanya demokrasia ya hali ya juu. Na sasa nataka hizo kura za mwenyekiti zihesabiwe hadharani tena wagombea wengine wakiwa sehemu ya kuhesabu kura hizo. Tunahitaji cdm wawe mfano wa kuheshimu box la kura na hata nchi nzima ijue hilo.
Peleka ushauri wako kwa magu ataufanyia kazi
 
Tukiruhusu kila mtu na aje na sababu Zake za kutaka mbowe aachie kiti kama fikra za maji machafu, basi chadema kitakufa asubuhi tu, embu itoshe tu wewe kuwa mtazamaji mengine waachie wenyewe, ww kachukue buku7 yako.

Hapo ndo cdm mnapokua rubbish. Yaan anaeikosoa cdm mnamuita ila anaeikosoa ccm na serikali mnamuita kamanda.

Ni ujinga huo. 🚮🚮🚮🚮🚮
 
Wafundishe hayo masokwe. Hayajui nini maana ya ushindani. Katika demokrasia ni kitu cha kawaida kabisa kushindwa au kushinda. Lakini wao wana mfanya mpinzani ni adui.

Nawaona hata viongozi wao wa kitaifa nao wako hivyo hivyo. Wakishindwa wanakuwa na kisirani. Wanaanza kutukana ovyo ma kujaribu kutafuta kila mbinu ili kuleta machafuko. Aisee! Hawa watu washukuru kwamba watanzania wana huruma.

Namshangaa kwa mfano mtu kama Tundu Lissu, anathubutu hata kumchukia Boss wake Speaker wa Bunge letu tukufu Mh. Ndugai. Ni mtu ovyo sana. Halafu anategemea Speaker amchekee tu na kumpenda yeye? Kama yeye hataki kuthamini na kutambua nyazifa za wengine, kwanini na wao wasimdharau vile vile?

Sijawahi kuona mbunge aliyekosa uzalendo kwa nchi yake na viongozi wake kama Tundu Lissu. Mbunge na mwana sheria mwenye akili timamu asinge wezaji panda ndege na kusafiri mpaka Washington DC, Amerika ili kuwapakazia uongo Rais wa nchi yake na Kiongozi wa Bunge lake badala ya kurudi mara moja kwao na kukutana na Boss wake ili kumaliza tofauti walizo kuwa nazo.

Mtu kama huyo eti bado ana taka awe kiongozi na jemedari mkuu wa nchi. Itawezekana kweli? Hicho ni kichekesho kikubwa sana.
Wewe na familia yako ukimpenda speaker na kuwa mzalendo inatosha, usilazimishe kila mtu kupenda vitu vya kipuuzi puuzi
 
Hata sitaki kujadili hilo la katiba kuhusu kifungu cha ukomo wa uongozi, mambo mengine ni aibu ndio hasa chanzo cha hii vuta nikuvute. Ni vyema uelewe tu kuwa miaka 15 inatosha sana kwa kiongozi anayejali demokrasia, nje ya hapo ni uhuni kama uhuni mwingine.
Gamba limechukia mbowe kuendelea kuiongoza chadema, mbowe hanunuliki
 
Back
Top Bottom