Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Tangu lini ccm wakawashauri viongozi wazuri wa kuwaongozeni,
Kikubwa wao wanataka viongozi cheap wa kuwanunua, nadhani walionunuliwa mnawakumbuka
Hao walionunuliwa 95% walipokelewa na hao hao kina Mbowe, kwa mtindo wa mwendo kasi kupitia mafuriko fake ya Lowassa.