Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Akwende zake CCM hatutaki Ujinga...imagine mtu anasema Agenda yake ya kutaka kuwa Mwenyekiti ni ili afanye kazi karibu na Magufuli/CCM...watu Wale wale waliotaka kumwua Lissu kweli? HAPANA Mazee, arudi tu CCM watampa Ubunge wampe na Uwaziri ikiwapendeza!
 
Waswahili wengi waanmini Taasisi imara zinajengwa kwa muda mfupi hawataki kuamini hasa hizi taasisi za kisiasa huku Africa chama kinachotawala kinaamini kina hatimiliki ya Nchi na watu wake...Cdm imekumbwa na inaendelea kukumbwa na dhoruba Kali sababu mbinu nyingi za kuiua zimeshindikana unaweza kuacha kujadili vyama vyote Ila usiiache Cuf ukowapi leo! so povu za watawala kwa Mbowe nisababu wamekosa bei yake nawashauri waunga mageuzi wote wasijiingize kwenye mkumbo wa gambaz unamlalamikia Mbowe aliekaa madarakani miaka 15 Ila hulalamiki cccm kutawala tangu Uhuru mpaka sasa nadhani tuwasamehe tu iko siku wataelewa vyama vya upinza vinamamluki wengi yaani leo Mwenyekiti angekuwa Waitara unaweza kuelewa nini kingetokea Mbowe ni MTU makini ataiacha Chadema kwenye mikono salama ni habari ya muda tu
Tukiruhusu kila mtu na aje na sababu Zake za kutaka mbowe aachie kiti kama fikra za maji machafu, basi chadema kitakufa asubuhi tu, embu itoshe tu wewe kuwa mtazamaji mengine waachie wenyewe, ww kachukue buku7 yako.
 
Japokua unaonesha hali ya kupinga ufalme ndani ya chama, je CDM kama chama wana uhalali wa kupinga kuondolewa ukomo wa uraisi?

Kwa nn wasipigane na adui wao wa ndani kisha watoke nje tuungane wote ( watz wote tukiwa tunawaona ni wasafi) twende tukapigane na wadhulumaji ccm?

Una kili kua CDM haina uhalali wa kuihoji CCM kwa lolote lile? (Hapa ndo useme ndiyo au hapana)

Je unafahamu kua licha ya kua Mbowe ni kiongozi shupavu lkn mbele ya macho ya watz wa kawaida ni doa kubwa?

Mimi sio msemaji wa cdm hivyo huwezi kuniuliza niwasemee, yuko msemaji atalisemea hilo. Ila kwangu siungi mkono kiongozi yoyote yule kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli. Na msimamo wangu huo uko wazi, hata nikiwa mwenyewe sina shaka na huo msimamo wangu.
 
Wafundishe hayo masokwe. Hayajui nini maana ya ushindani. Katika demokrasia ni kitu cha kawaida kabisa kushindwa au kushinda. Lakini wao wana mfanya mpinzani ni adui.

Nawaona hata viongozi wao wa kitaifa nao wako hivyo hivyo. Wakishindwa wanakuwa na kisirani. Wanaanza kutukana ovyo ma kujaribu kutafuta kila mbinu ili kuleta machafuko. Aisee! Hawa watu washukuru kwamba watanzania wana huruma.

Namshangaa kwa mfano mtu kama Tundu Lissu, anathubutu hata kumchukia Boss wake Speaker wa Bunge letu tukufu Mh. Ndugai. Ni mtu ovyo sana. Halafu anategemea Speaker amchekee tu na kumpenda yeye? Kama yeye hataki kuthamini na kutambua nyazifa za wengine, kwanini na wao wasimdharau vile vile?

Sijawahi kuona mbunge aliyekosa uzalendo kwa nchi yake na viongozi wake kama Tundu Lissu. Mbunge na mwana sheria mwenye akili timamu asinge wezaji panda ndege na kusafiri mpaka Washington DC, Amerika ili kuwapakazia uongo Rais wa nchi yake na Kiongozi wa Bunge lake badala ya kurudi mara moja kwao na kukutana na Boss wake ili kumaliza tofauti walizo kuwa nazo.

Mtu kama huyo eti bado ana taka awe kiongozi na jemedari mkuu wa nchi. Itawezekana kweli? Hicho ni kichekesho kikubwa sana.

Huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Lissu hahitaji kuwa mzalendo wa nchi hii kwa kijikomba kwa rais na speaker. Kama uzalendo ni kujikomba kwa viongozi baki nao ww na watu wa kijiji chenu.
 
Waswahili wengi waanmini Taasisi imara zinajengwa kwa muda mfupi hawataki kuamini hasa hizi taasisi za kisiasa huku Africa chama kinachotawala kinaamini kina hatimiliki ya Nchi na watu wake...Cdm imekumbwa na inaendelea kukumbwa na dhoruba Kali sababu mbinu nyingi za kuiua zimeshindikana unaweza kuacha kujadili vyama vyote Ila usiiache Cuf ukowapi leo! so povu za watawala kwa Mbowe nisababu wamekosa bei yake nawashauri waunga mageuzi wote wasijiingize kwenye mkumbo wa gambaz unamlalamikia Mbowe aliekaa madarakani miaka 15 Ila hulalamiki cccm kutawala tangu Uhuru mpaka sasa nadhani tuwasamehe tu iko siku wataelewa vyama vya upinza vinamamluki wengi yaani leo Mwenyekiti angekuwa Waitara unaweza kuelewa nini kingetokea Mbowe ni MTU makini ataiacha Chadema kwenye mikono salama ni habari ya muda tu
Umemaliza kila kitu mkuu.Ubarikiwe sana
 
Mimi sio msemaji wa cdm hivyo huwezi kuniuliza niwasemee, yuko msemaji atalisemea hilo. Ila kwangu siungi mkono kiongozi yoyote yule kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli. Na msimamo wangu huo uko wazi, hata nikiwa mwenyewe sina shaka na huo msimamo wangu.
Wewe unafanyia kazi CCM nani asiyekujua?
 
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.


Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
Wewe ni CCM mfamaji.Pole sana.Mbowe ataendelea kuchaguliwa hata mkienda kuwanga
 
Huo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
Blah Blah.Kunywa maji upumzike kijana
 
Kwa sasa kumlaumu mbowe ni kumuonea, Leo mbowe kasema yeyote anayejisikia kuchukua fomu ya nafasi yoyote achukue, wanachadema wataamua.kosa LA mbowe ni nini
Hawajitambui hao.Mbowe hajichagui bali anachaguliwa
 
Hivi kumbe Chadema kuna wasaliti eeeh??! Ndiyo maana chama hiki Mungu ameshasema hawezi kukipatia nchi ya Tanzania kitawale!! Nimeelewa sasa!!
Mungu yupi? Mungu wa Baali?
 
Akwende zake CCM hatutaki Ujinga...imagine mtu anasema Agenda yake ya kutaka kuwa Mwenyekiti ni ili afanye kazi karibu na Magufuli/CCM...watu Wale wale waliotaka kumwua Lissu kweli? HAPANA Mazee, arudi tu CCM watampa Ubunge wampe na Uwaziri ikiwapendeza!

..lini alisema hivyo?

..hebu tuwekee video clip tujiridhishe.
 
Ujamsikimia mwenyekiti ameshauri kinafiki kulinda nafasi yake asiwe na threat?

Katoa suggestion na wala sio shuruti mkuu!

Na huo unafiki umeona kupitia lens ya miwani yako!

Mimi lens yangu sioni

Ni perspective tu!
 
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Ushauri muafaka kwa ukuaji wa demokrasia nchini mwetu.
Ushauri huu ni muhimu zaidi kwa CCM ambao mtu akihisiwa tu kuwa anataka kuchukua fomu kushindana na Magufuli, anageuzwa kuwa msaliti na kibaraka wa mabeberu.
Wana CCM ni muhimu wajifunze kuvumiliana na kupendana.
Tanzania ni zaidi ya vyama.
Tanzania ni zaidi ya CCM!
Tanzania ni zaidi ya CHADEMA!
 
Wewe unafanyia kazi CCM nani asiyekujua?

Sijitetei kwako wala sina sina sababu kujitetea, sijawahi kuikubali ccm hao chama cha maibilisi kwa lolote na sintoikubali, ila kuwa muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umefikia kikomo, hilo wala sina shaka nalo. Na katika hili sintoyumba, kama ambavyo sikuyumba kwa lile zee la ccm mlilolilia hela zake mkalipa nafasi ya kugombea urais.
 
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Kamanda huyo Mathew Alitoka wapi?
 
Kwa bahati mbaya hata aliyeshinda alikua ccm na alihamia cdm siku moja na Mwambe.
Hahahahahah, hawa makamanda ukitaka kukalia kiti cha Kim Jon Un Mbowe tu unakua pandikizi na msaliti.
 
Back
Top Bottom