Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

Ninawajua wanawake wakristo waliowahi olewa na waislamu wakidhani wanaume wa kiislamu wenye hela wanajali sana wake wakiwa hawajui vizuri walipogundua kuwa matapeli wakawaacha hao wanaume hao wanaume wakawatupia majini wakaondka na majini yanawasumbua makanisani wachungaji wakawa wanahangaika na majin waliyotupiwa na wanaume zao waislamu ili kuyatoa waliyotupiwa na wanaume wa kiislamu baada ya kuwaaaccha wanaume waislamu

Mfano mwanamke akiolewa na mpemba mwislamu akimuacha mwanaume mpemba muislamu wakiachana kwa heri au shari lazima mwanaume wa kipemba amtupie majini huyo mwanamke Mkristo wanapoachana naye iwe alimkosea au la huyo mwanaume lazima amtupie majini masumbufu

Naongea kwa uhakika nina mifano kibao
 
Sio kweli. Upande wa mama yake ni waislamu ( kuna wabena waislamu ingawa sio wengi) na alipewa jina la Khalfan kwa sababu hiyo.
Ok vyovyote vile lakini P Funk hapo mwanzo alikuwa anaitwa Paul na mshua wake alikuwa ni Mkristo hata nyumba ilikuwa ya kikristo, ukubwani huko akaona hawezi kuendelea na ukristo akahamia rasmi uislamu,
 
Kila dini ina upande mweusi, Waislam wanaotumia majini ni kama kwenye ukristo papa francis anavyosema upinde wapewe baraka
Mwenye kuyaabudu majini huyo sio Muislam...bali huitwa ni Mushrik (mshirikina) hata kama atakuwa na jina la kiislam na kufanya ibada za kiislam. Kiuhalisia atakuwa ameshajivua vazi la uislam na ili kurejea tena ndani ya uislam anatakiwa aache kuyaabudu majini, atubie na atamke upya shahada yake ya kuingia tena katika uislam.
 
Asilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea

🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha

🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo

🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini

🔹Limbwata la pilao
Wengi wanaosilimu kuingia katika uislam ni matokeo ya wao kuitafuta, kuisoma na kuielewa haki.

Tatizo lenu wengi hamjawahi kuishika Quran wala kuisoma ina ujumbe gani. Ila amini nakwambia lau kama ukikaa chini ukaifunua na kuisoma Quran basi kesho tu unaamua Kuslimu kwa uwezo wa Mungu.
 
Asilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea

🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha

🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo

🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini

🔹Limbwata la pilao
Wengi wanaosilimu kuingia katika uislam ni matokeo ya wao kuitafuta, kuisoma na kuielewa haki.

Tatizo lenu wengi hamjawahi kuishika Quran wala kuisoma ina ujumbe gani. Ila amini nakwambia lau kama ukikaa chini ukaifunua na kuisoma Quran basi kesho tu unaamua Kuslimu kwa uwezo wa Mungu
kwangu mtu maarufu aliyebadili dini na akaishika ni Muhammed Ally (R.I.P) mpiga ngumi wa kimarekani.
hawa wengine kina Tyson, Gervonta TANK Devis nk ni kujiangaisha tu. Mpaka leo Tyson hatumii jina lake la kiislam Abdul Malik muda wote anaandikwa kama Mike Tyson hali kadhalika kwa Tank.
Hakuna ulazima wa kubadilisha jina lako mara baada ya kusilimu unless hilo jina liwe lina maana mbaya. Mfano mtu anaitwa mkosi ,mzimu au shida huyu anaruhusiwa kubadilisha jina na kuchagua jina zuri. Unaweza ukasilimu na ukabaki na jina lako hilohilo....imani huwa ipo moyoni.
 
Nimeshtushwa sana na Balnaba si huyu amefunga ndoa hivi karibuni kanisani ikawa gumzo hivi karibuni??
Nimeshtushwa pia na Classmates wangu Bob wangwe UDSM 2013..
 
Mchawi yeyote na mshirikina sehemu anayoweza jisikia poa ni kwenye uislamu tu

UKRISTO Moto wa kuotea mbali hakuna kuendekeza inani za majini nk
Kujifunza au kufanya uchawi ni moja ya vipengele kumi vinavyomtoa mtu katika uislam.

Kuunasibisha uislam na uishirikina ni oxymoron. Ni sawa useme nyeupe-nyeusi....au mashariki-magharibi.

Ni vitu ambavyo haviendani kabisa.

Uislam ni kujisalimisha na kumnyenyekea Mungu mmoja ilihali ushirikina ni kuabudu wengine badala au pamoja na Mungu.

Monotheism haiwezi kuwa sawa na polytheism.
 
Shomari Kapombe baba Ester kutoka Uislam kwenda ukristo

Rose Muhando kutoka Uislam kwenda ukristo

Familia ya makamba ile sijui kama ni ys kiislam,wanapenda sana umagharibi magharibi
Wale hawaeleweki wanapenda umagharibi sana kiufupi wanaipenda dunia na hata usoni hawana hofu ya mungu
 
Back
Top Bottom