Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yapo ila kuna wengine especially ulaya na marekani wengi wao wanapendezwa na mfumo wa maisha wa kiislamu , kama huyu muandishi wa habari wa southafrica yeye kapenda unyenyekekevu wa waislamu kwa mola waoAsilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea
🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha
🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo
🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini
🔹Limbwata la pilao
Uchawi wa kitabu ndio nini?Mwenye kuyaabudu majini huyo sio Muislam...bali huitwa ni Mushrik (mshirikina) hata kama atakuwa na jina la kiislam na kufanya ibada za kiislam. Kiuhalisia atakuwa ameshajivua vazi la uislam na ili kurejea tena ndani ya uislam anatakiwa aache kuyaabudu majini, atubie na atamke upya shahada yake ya kuingia tena katika uislam.
Relax mkuu..inasaidia nn hizo takwimu?? Tunahitaji kulikomboa hili Taifa kabisaa. Sasa mtu kubadili dini kuna maajab gan?? Ni maamuz ya mtu tuu. Leten takwimu za elimu kwann tupo nyuma n.k .
Surat al jinn kwanini ipo kwenye quranTatizo lenu ni moja tu,huwa mnapenda sana kusikiliza maneno ya kuambiwa. Lau kama ungethubutu kufunua kitabu cha Quran na kusoma basi ungeijua misingi ya uislam na misimamo yake dhidi ya Uishirikina na Uchawi.
Uislam ndio dini ambayo iko mbali sana na ushirikina (kuabudu viumbe,vitu n.k pamoja na Mungu).
Quran imesema wazi kuwa mwenye kufa hali ya kuwa ni mshirikina basi huyo amepata hasara na mafikio yake ni moto mkali wa Jahannam. Mshirikina hata harufu ya pepo hatainusa licha ya kuwa harufu yake inasikika (inanusika) umbali wa safari ya miaka 40.
Hii hakuna atakaejibu......watapita kama hawaioni.Hao wengine wakibadili dini si inabidi wenzao wawaue au maandishi yao yanasemaje
Sema jina la kiarabu mkuu 🤣🤣🤣kwangu mtu maarufu aliyebadili dini na akaishika ni Muhammed Ally (R.I.P) mpiga ngumi wa kimarekani.
hawa wengine kina Tyson, Gervonta TANK Devis nk ni kujiangaisha tu. Mpaka leo Tyson hatumii jina lake la kiislam Abdul Malik muda wote anaandikwa kama Mike Tyson hali kadhalika kwa Tank.
Haki ipi mkuuu???Wengi wanaosilimu kuingia katika uislam ni matokeo ya wao kuitafuta, kuisoma na kuielewa haki.
Tatizo lenu wengi hamjawahi kuishika Quran wala kuisoma ina ujumbe gani. Ila amini nakwambia lau kama ukikaa chini ukaifunua na kuisoma Quran basi kesho tu unaamua Kuslimu kwa uwezo wa Mungu.
Ila wewe unapenda umashariki 🤣🤣🤣😂😂😂 ngoma drooWale hawaeleweki wanapenda umagharibi sana kiufupi wanaipenda dunia na hata usoni hawana hofu ya mungu
Majini yanayoendekezwa kwenye uislamu sio MalaikaTatizo lenu ni moja tu,huwa mnapenda sana kusikiliza maneno ya kuambiwa. Lau kama ungethubutu kufunua kitabu cha Quran na kusoma basi ungeijua misingi ya uislam na misimamo yake dhidi ya Uishirikina na Uchawi.
Uislam ndio dini ambayo iko mbali sana na ushirikina (kuabudu viumbe,vitu n.k pamoja na Mungu).
Quran imesema wazi kuwa mwenye kufa hali ya kuwa ni mshirikina basi huyo amepata hasara na mafikio yake ni moto mkali wa Jahannam. Mshirikina hata harufu ya pepo hatainusa licha ya kuwa harufu yake inasikika (inanusika) umbali wa safari ya miaka 40.
Exactly....wanafuata nyuchi nne za halali badala ya mojaKumbe P Funk alibadili dini
Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki
Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️
Mfumo gani unaizungumzia? Hivi unaeafahamu wazungu? Huwa Wana mipango ya miaka zaidi mia 5 hutoelewa Sasa ila endeleeni kuwa recruit mseme mmepata wazungu ,miaka 500 ijayo ni wao watawabadili ninyi na sio ninyi mtawabafiliHayo yapo ila kuna wengine especially ulaya na marekani wengi wao wanapendezwa na mfumo wa maisha wa kiislamu , kama huyu muandishi wa habari wa southafrica yeye kapenda unyenyekekevu wa waislamu kwa mola wao
Kufuatilia uzi huu unaohusu Dini ni UshenziKufuatilia mambo ya dini, ni upuuzi..