Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ontario namwona wa mwisho kwenye list1. Mzize - Mchezaji wa Yanga
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056
2. P Funk - Producer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057
3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira
Uislam kwenda Ukristo
View attachment 2940099
4. Barnaba - Msanii wa Muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058
5. Mwijaku - journalist infuencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059
6. Young killer - Msanii wa muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060
7. Jeff Dennis - Twitter Influencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071
Hadi ndoa kafunga ya kiislamuP hajawahi kubadili dini, bali mama muislam akamwita Khalfan na baba mkristo ndio akamwita sijui nani,
Shomari ni jina tu nahisi ndiyo la kiislamu toka mdogo ni mkrosto yule na kalelewa na kanisa kabisaShomari Kapombe baba Ester kutoka Uislam kwenda ukristo
Rose Muhando kutoka Uislam kwenda ukristo
Familia ya makamba ile sijui kama ni ys kiislam,wanapenda sana umagharibi magharibi
Unaweza bishana kwa hoja lakini sio kwa dhihaka na kufikia hapa.Wanaume waislamu swala tano mkristo anajielewa hawawezi olewa na muislamu atamwambia ainame aingeze kinyeo kule makao makuu ya Gaza
Wanawake wengi wakristo huo ushenzi hawawezi waislamu waoane wenyewe kwa wenyewe huo ushenzi wabaki nao wenyewe hiyo sunna ya mtume kinyume na maumbile
Unamaanisha nyinyi mnafirana wanaume kwa wanaume kama hiviWanaume waislamu swala tano mkristo anajielewa hawawezi olewa na muislamu atamwambia ainame aingeze kinyeo kule makao makuu ya Gaza
Wanawake wengi wakristo huo ushenzi hawawezi waislamu waoane wenyewe kwa wenyewe huo ushenzi wabaki nao wenyewe hiyo sunna ya mtume kinyume na maumbile
Nonsense,ni mtume ndio aliupima huo umbali?Tatizo lenu ni moja tu,huwa mnapenda sana kusikiliza maneno ya kuambiwa. Lau kama ungethubutu kufunua kitabu cha Quran na kusoma basi ungeijua misingi ya uislam na misimamo yake dhidi ya Uishirikina na Uchawi.
Uislam ndio dini ambayo iko mbali sana na ushirikina (kuabudu viumbe,vitu n.k pamoja na Mungu).
Quran imesema wazi kuwa mwenye kufa hali ya kuwa ni mshirikina basi huyo amepata hasara na mafikio yake ni moto mkali wa Jahannam. Mshirikina hata harufu ya pepo hatainusa licha ya kuwa harufu yake inasikika (inanusika) umbali wa safari ya miaka 40.
Jamaa gani mkuu.....hao wafuasi wa wakoloni wa kiarabu?????Embu niambie wale jamaa unavyoona ni dini gani kweli jamani
Mkuu bila majini.....hakuna uislamu........ Ni kama ukatoliki na dead soul!!!Tatizo lenu ni moja tu,huwa mnapenda sana kusikiliza maneno ya kuambiwa. Lau kama ungethubutu kufunua kitabu cha Quran na kusoma basi ungeijua misingi ya uislam na misimamo yake dhidi ya Uishirikina na Uchawi.
Uislam ndio dini ambayo iko mbali sana na ushirikina (kuabudu viumbe,vitu n.k pamoja na Mungu).
Quran imesema wazi kuwa mwenye kufa hali ya kuwa ni mshirikina basi huyo amepata hasara na mafikio yake ni moto mkali wa Jahannam. Mshirikina hata harufu ya pepo hatainusa licha ya kuwa harufu yake inasikika (inanusika) umbali wa safari ya miaka 40.
Kwetu wapi mkuu 🤣🤣🤣Ila mwijaku hatumtaku mrudisheni huko kwenu ndio panampendeza
Wapi kaandika "umbali"? Ni wazi huelewi unachokisoma.Nonsense,ni mtume ndio aliupima huo umbali?
SijuiWapi kaandika "umbali"? Ni wazi huelewi unachokisoma.
jane miso aliufanyia wimbo wake remix kwa kumshirikisha mwanamuziki wa kidunia harmonize, wimbo unaitwa omoyo. Ule wimbo haukupokelewa vema na jamii ya wakristo kiasi cha kumjia juu jane kwa kuimba na mwimbaji wa duniani asiyemjua yesu. Cha ajabu hata watu wa duniani hawakuupokea vema wimbo huo ukawa hauna upande ulikopendwa. Iko hivi, mwimbaji wa injili kushirikisha mwimbaji wa kidunia haileti maana nzuri na wimbo huo hautakuwa na upako wa mungu. Pia mwimbaji wa kidunia kuimba gospel wimbo hautapokelewa vema na jamii husika, utaonekana unafanya mzaha tu kwenye mambo ya dini na imaniKwa Joel Lwaga ni Yesu mkuu kiasi kwamba ukiimba nae basi wewe ni mkristo na Mtumishi wa Mungu? (Jokes), hawa jamaa ni wasanii wa nyimbo za Injili hivyo wanaimba na yoyote kikubwa litajwe jina la Mungu / Yesu mambo sijui ya upako hakuna tutajijua wasikilizaji
Upo sahihi ndo maana nilisema hawa jamaa wa gospel nilitumia neno "wasanii wa nyimbo za Injili" wenyewe wanajali litajwe jina la Mungu / Yesu mengine wanatuachia sisi kikubwa kauza (ndicho nilichomaanisha kama ulivyoandika wewe yaani wanajali biashara zaidi kuliko upako)jane miso aliufanyia wimbo wake remix kwa kumshirikisha mwanamuziki wa kidunia harmonize, wimbo unaitwa omoyo. Ule wimbo haukupokelewa vema na jamii ya wakristo kiasi cha kumjia juu jane kwa kuimba na mwimbaji wa duniani asiyemjua yesu. Cha ajabu hata watu wa duniani hawakuupokea vema wimbo huo ukawa hauna upande ulikopendwa. Iko hivi, mwimbaji wa injili kushirikisha mwimbaji wa kidunia haileti maana nzuri na wimbo huo hautakuwa na upako wa mungu. Pia mwimbaji wa kidunia kuimba gospel wimbo hautapokelewa vema na jamii husika, utaonekana unafanya mzaha tu kwenye mambo ya dini na imani
Nyie si ndo mnasema shetani alikuwa malaika ikawaje sasa akaasi?Majini yanayoendekezwa kwenye uislamu sio Malaika
Ukristo unaamini kuwa kuna Mungu na Malaika tu mtu akiamini kuna malaika na majini wa mwenyezi Mungu mchawi na Mshirikina huyo
Majini kwenye Ukristo ni wafuasi wa shetani na viongozi wa wachawi hatuyakubali
Malaika ndio viongozi watiifu kwa Mungu tu sio majini kama waislamu nsemavyo ohhh kuna majini mazuri .Ukristo hakuna jini zuri yote mashetani tu hatuna mpango wa kuwa na ushirika na jini iwe ibada au.popote
Majini ndio wasimamia uchawi na ulozi duniani hakuna jini zuri wala baya kwenye ukristo yote mabaya mapepo mashetani watoto wa shetani
Wakristo tunaamini kwa malaika tu kuwa ndio wako vizuri hatuamini kwenye majini
Majini yote kwa wakristo yanaitwa mapepo hakuna cha jini zuri wala baya kwenye ukristo yote mapepo y kuzimu toka kwa shetani mlaaniwa
Ukristo unaamini malaika tu sio majini mnayosali nayo hadi misikitini kuwa ohh kuna majini maxuri kila ijumaa au muda wa swala yanakuwepo na wauslamu kuswali nao
Ukristo hiyo haipo tukisali marufuku jini kuweko kanisani na tunakemea jini usikanyage tunaposali shetani wewe hatutaki uwepo wako tunaposali
Misikitini mnayaruhusu kwenye ibada zenu ila ibada za Kikristo hatutaki majini kanisani yaweko ibadani kwenye ibada zetu
Tunahitaji malaika wawepo sio majini kama nyie mnayosali nayo kila swala misikitini
Kuna wanaume wengine wajinga sana...Kumbe P Funk alibadili dini
Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki
Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️
Kei ni nini?Kumbe P Funk alibadili dini
Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki
Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️