CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

unajua watanzania wengi tujitambui.P2P inaweza kuja kwako kama mshiriki na ikajaza packet au vipande kwako bila kujua na ukawa mshiriki sababu na wewe ni mshiriki
 
Because of it extreme privacy features. Wanachotaka western gov ni kuweza kusoma mawasiliano ya telegram kitu ambacho kimekuwa kigumu sana kwao
 
unajua watanzania wengi tujitambui.P2P inaweza kuja kwako kama mshiriki na ikajaza packet au vipande kwako bila kujua na ukawa mshiriki sababu na wewe ni mshiriki
Wewe lugha yako na ujenzi wa mantiki hukupa shida sana,nimeona pahala umesoma udom,chuo kilichojengwa kuanzia 2006,sijui elimu yako nyuma ya chuo ulipita shule gani!..yaani hadi kiswahili kinakupa tabu
 
Moja kati ya mtandao ambao algorithm zake zimeandikwa kwenye very strong engine ila kwa Tz huu mtandao umeshaharibiwa sana nowadays hata ukimuona binti ako na app ya tele kwenye simu yake unaanza kumtilia shaka kwanza.
 
Moja kati ya mtandao ambao algorithm zake zimeandikwa kwenye very strong engine ila kwa Tz huu mtandao umeshaharibiwa sana nowadays hata ukimuona binti ako na app ya tele kwenye simu yake unaanza kumtilia shaka kwanza.
algorithm aziwezi kuwa kwenye telegram.telegram kuna neuron ambazo kujua akili mfano unatafuta akili ya ccm hip matokoni inageuka inakwambia ni na NABii toti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…