Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Baba links babaTelegram kuna midada/ mishangazi inauza "msosi" hatari.
Ni wewe tu na hela yako kujipakulia mipaja na vipapatio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba links babaTelegram kuna midada/ mishangazi inauza "msosi" hatari.
Ni wewe tu na hela yako kujipakulia mipaja na vipapatio.
unajua watanzania wengi tujitambui.P2P inaweza kuja kwako kama mshiriki na ikajaza packet au vipande kwako bila kujua na ukawa mshiriki sababu na wewe ni mshirikiP2p ina maana hakuna server mtu akitaka file basi linatoka kwenye vifaa vya watu, ukisha download file una seed kwa watu wengine ili na wao waweze kudownload, Telegram haipo hivyo na ina server zake mbalimbali duniani na operational centre ipo Dubai, so sio p2p.
Because of it extreme privacy features. Wanachotaka western gov ni kuweza kusoma mawasiliano ya telegram kitu ambacho kimekuwa kigumu sana kwaoHata mimi jana Telegram imenisumbua. Pavel amekamatwa kwa makosa ya Telegram kuchapisha maudhui yanakokinzana na haki za binadamu na makosa ya jinai. Telegram hamna regulation hata wauza madawa wapo, sexual traffickers wapo.
Sidhani kama ni makosa makubwa sana kwake, angekamatwa kwao Urusi ndio ana kesi kubwa ila cha ajabu serikali ya Urusi inaitumia sana Telegram maana raia hawaziamini sana source rasmi za serikali.
Mwenyewe ntakua nafanya huku nafanya toba,so mzani umebalansi,fanya upendo, sharing is caringMimi nafanya huku natubu. Sasa toba yangu inaweza kubaliwa halafu wewe ukaniharibia toba yangu ukienda kutafuta mbwasha ikiwa mimi ndio nimekupa link😂
Wewe lugha yako na ujenzi wa mantiki hukupa shida sana,nimeona pahala umesoma udom,chuo kilichojengwa kuanzia 2006,sijui elimu yako nyuma ya chuo ulipita shule gani!..yaani hadi kiswahili kinakupa tabuunajua watanzania wengi tujitambui.P2P inaweza kuja kwako kama mshiriki na ikajaza packet au vipande kwako bila kujua na ukawa mshiriki sababu na wewe ni mshiriki
Ahsanteee!!Hongera
Mie sijaona uzito wowote, yaan nimetumia km kawaidaa,Kuna namna umekua mzito kutumia
lugha yangu imenisaidia nini wakati TZS iwezi kufanana USD au Kenya shilingiWewe lugha yako na ujenzi wa mantiki hukupa shida sana,nimeona pahala umesoma udom,chuo kilichojengwa kuanzia 2006,sijui elimu yako nyuma ya chuo ulipita shule gani!..yaani hadi kiswahili kinakupa tabu
Ipo advancedhata telegram inafanya hivo sema hipo advance sana
kuna kapuuzi kana bishana na baba yake wakati na mtoto ni software engineerni raia wa USA.mpaka naona kuchekea bar hapa leo jumapiliIpo advanced
Calling for jf ballistic missile hahaaaa
Endelea kuringa but links huzipati jf hahaaBaba links baba
algorithm aziwezi kuwa kwenye telegram.telegram kuna neuron ambazo kujua akili mfano unatafuta akili ya ccm hip matokoni inageuka inakwambia ni na NABii totiMoja kati ya mtandao ambao algorithm zake zimeandikwa kwenye very strong engine ila kwa Tz huu mtandao umeshaharibiwa sana nowadays hata ukimuona binti ako na app ya tele kwenye simu yake unaanza kumtilia shaka kwanza.
Anisaidie kumjibu😄Calling for jf ballistic missile hahaaaa
Neuron si bot hiyo sasa?algorithm aziwezi kuwa kwenye telegram.telegram kuna neuron ambazo kujua akili mfano unatafuta akili ya ccm hip matokoni inageuka inakwambia ni na NABii toti
Huna mambo mengi humo Tele😂Mie sijaona uzito wowote, yaan nimetumia km kawaidaa,
hapana .kuna kitu watu wengi hapa tanzania hata hapa JF ni wapuuzi idara yao.Neuron si bot hiyo sasa?
Mtandao gani ni P2P ?P2p ina maana hakuna server mtu akitaka file basi linatoka kwenye vifaa vya watu, ukisha download file una seed kwa watu wengine ili na wao waweze kudownload, Telegram haipo hivyo na ina server zake mbalimbali duniani na operational centre ipo Dubai, so sio p2p.