Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliteuliwa kua CEO wa Simba lakini serikali ya Tanzania haikumpa vibali vya kufanya kazi nchini na haikutoa sababu, baada ya muda ndo zinakuja taarifa za uteuzi huko Kagame landSerikali iliona mbali katika lipi?
Kuna tatizo gani CEO mnyarwanda kuteuliwa na kupewa kazi katika serikali ya Rwanda ??
Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo.
Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
Simba na Yanga ni tools za serikali kwenye kufanya propaganda na manipulation Kwa wananchiHata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Mnamjua vizuri mke wa Bashite?
Huyo CEO anajulikana muda mrefu tu ni mnyarwanda mwenye mahusiano mazuri na serikali ya Kagame, hakuna kitu kikubwa kilichojificha ambacho serikali ilikiona. Ni kawaida kwa serikali ya Tanzania kutopendelea Wanyarwanda na Wakenya washike nafasi kubwa nchini.Aliteuliwa kua CEO wa Simba lakini serikali ya Tanzania haikumpa vibali vya kufanya kazi nchini na haikutoa sababu, baada ya muda ndo zinakuja taarifa za uteuzi huko Kagame land
Bila simba kagame asingemuona!Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo.
Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
Kwa Wanyarwanda ni kwel ila Wakenya sio kwelHuyo CEO anajulikana muda mrefu tu ni mnyarwanda mwenye mahusiano mazuri na serikali ya Kagame, hakuna kitu kikubwa kilichojificha ambacho serikali ilikiona. Ni kawaida kwa serikali ya Tanzania kutopendelea Wanyarwanda na Wakenya washike nafasi kubwa nchini.
Hivi mke wa Bashite anaitwa nani ndugu?Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Mnamjua vizuri mke wa Bashite?
Ndiyo Mariam mtoto wa Mwalimu Masenge na dentist (Dr. Masenge) kuzaliwa Arusha na kukulia Arusha Sanawari Ni Wahangaza wa Ngara ulitaka kusema nini Kwani??Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Mnamjua vizuri mke wa Bashite?
Huna chochote unachokijua kuhusiana na ujasusi. Jasusi ana uwezo wa ku operate sehemu yoyote ile. Unamjua arshavin wewe?Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Mnamjua vizuri mke wa Bashite?
Kwani na yeye ana asili ya Kagame?Hivi mke wa Bashite anaitwa nani ndugu?
Aiseee!...Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Mnamjua vizuri mke wa Bashite?
Duh!Huna chochote unachokijua kuhusiana na ujasusi. Jasusi ana uwezo wa ku operate sehemu yoyote ile. Unamjua arshavin wewe?
Kaa hapohapo ulipokaaNdiyo Mariam mtoto wa Mwalimu Masenge na dentist (Dr. Masenge) kuzaliwa Arusha na kukulia Arusha Sanawari Ni Wahangaza wa Ngara ulitaka kusema nini Kwani??
Sifahamu. Nilitaraji utanipa jibu. Ila kuna mtu angalau ametoa jibuHivi mke wa Bashite anaitwa nani ndugu?