Kama hujui kaa kimya.Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujui kaa kimya.Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Hili ni swali zuri sana.Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Jamaa ni senior kipenyo.Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo.
Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
Tumekuwa makini ku screen wanaokwenda kwenye club kama ya Simba, huku serikalini wakiwa wamejazana.Hili ni swali zuri sana.
Maana kuwazuia majasusi wa Kagame kupata hata uwaziri nchi hii ni vigumu.
Wapo baadhi walifanya kazi hadi wamestaafu lakini mtu kwao hawakuwahi kupasahau kwao na watu wao.
Walibebana sana na wana siri kubwa ukiwa na akili hizi zetu za kujibia mitihani tu huwezi kujua
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sasa hata Magori ambaye nae ni walewale ameshindwa kumtambua huyu jamaa!?Serikali inawajua hao watu hizi Timu hakuna kitu zinajua ndio maana mnaona baadhi ya watu hawapewi vibali vya kazi..
Ona hii kiazi inaongea itadhani imeishia std 7.Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?
Inawezekana pamoja na kiwa na Post-doctoral bado ukabaki kuwa finyu, ndiyo maana hata swali likakushinda. Kwani hiyo elimu yenu si ndiyo hii inawapeleka kuingia mikataba ya kduanzi na kushindwa kesi kila uchao?Ona hii kiazi inaongea itadhani imeishia std 7.
Watanzania tumebaki kujisifia Elimu kubwa huku tukilala na mitungi ya gesi ndani life kama nyokaa wa madini ila mtaani sasa tuna zogo la Elimu kama watu kweli.Inawezekana pamoja na kiwa na Post-doctoral bado ukabaki kuwa finyu, ndiyo maana hata swali likakushinda. Kwani hiyo elimu yenu si ndiyo hii inawapeleka kuingia mikataba ya kduanzi na kushindwa kesi kila uchao?
Ukiwakuta humu mitandaoni wakijipandisha kielimu na kuwashusha wengine, unaweza usifikiri siyo wale akili zao huwa zinabadilishwa kwa na mienendo ya Club za Simba na Yanga huku wakiwacheka wakenya kwa kufuatilia mipango ya maendeleo ya nchi yao kuwa ni kupenda vuruguWatanzania tumebaki kujisifia Elimu kubwa huku tukilala na mitungi ya gesi ndani life kama nyokaa wa madini ila mtaani sasa tuna zogo la Elimu kama watu kweli.
Kwa hili inawezekana.Huyo inasadikika wasiojulikana walimtambua kuwa ni asiyejulikana mwenzio wa ngazi ya juu upande wa kushoto, hivyo wakaamua kumfyekelea mbali.
Tuache kusajili na wachezaji sasa.Serikali inawajua hao watu hizi Timu hakuna kitu zinajua ndio maana mnaona baadhi ya watu hawapewi vibali vya kazi..
Huyo hapana ila nakupa huyu madevu anayejiita mwanasheria msomi naeHata Haruna Niyonzima huenda alikua jasusi.
Inaujua ujasusi?Hata kama angekuwa ni Jasusi, Je, being CEO wa Simba ingeathili nini nchi?