Wewe umesema kwani akiwa ceo wa simba ataleta athari gani? Na mimi nikakujibu jasusi anaweza kufanya kazi sehemu yoyote na akaleta madhara kwa nchi that's my point.Duh!
Wabongo mnaojua Ujasusi bana, mpo vizuri kweli. Halafu mimi nimeuliza tu kwani nimesema kuna kitu najua?
Mkuu elewa na tafakari..serikali iliona mbali...tafakari tena amerudi na kupewa wizara..Serikali iliona mbali katika lipi?
Kuna tatizo gani CEO mnyarwanda kuteuliwa na kupewa kazi katika serikali ya Rwanda ??
Nilitaka kufahamu kwanini una wasiwasi nae.Sifahamu. Nilitaraji utanipa jibu. Ila kuna mtu angalau ametoa jibu
espionageNilitaka kufahamu kwanini una wasiwasi nae.
Serikali yetu haipendelei Wanyarwanda washike madaraka makubwa nchini? Ikawaje ikashindwa kumuona yule mtu mkubwa,kijana mwenye mwanya?Huyo CEO anajulikana muda mrefu tu ni mnyarwanda mwenye mahusiano mazuri na serikali ya Kagame, hakuna kitu kikubwa kilichojificha ambacho serikali ilikiona. Ni kawaida kwa serikali ya Tanzania kutopendelea Wanyarwanda na Wakenya washike nafasi kubwa nchini.
Eleza unyarwanda wa NWM hapa.Serikali yetu haipendelei Wanyarwanda washike madaraka makubwa nchini? Ikawaje ikashindwa kumuona NWM?
New World Movement ni Shirika la mikopo lenye matawi katika mikoa na Wilaya nyingi nchini Seychelles.Eleza unyarwanda wa NWM hapa.
Biteko sio MnyarwandaEleza unyarwanda wa NWM hapa.
Najua...Biteko sio Mnyarwanda
Watu wanachanganya Sana lakin ukiwa umekulia au umezaliwa mikoa ya mipakani hii tabu ni yako
Mjuvi wa vijiwe vya kahawa.New World Movement ni Shirika la mikopo lenye matawi katika mikoa na Wilaya nyingi nchini Seychelles.
Aliemwajiri au kimscout Simba aangaliwe, anaweza kuwa wakala wa PK pia.Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo.
Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
Uhangaza ni bosheni tu. mwana PK.Ndiyo Mariam mtoto wa Mwalimu Masenge na dentist (Dr. Masenge) kuzaliwa Arusha na kukulia Arusha Sanawari Ni Wahangaza wa Ngara ulitaka kusema nini Kwani??
Mkuu, huyu hajui kitu achana nae.Huna chochote unachokijua kuhusiana na ujasusi. Jasusi ana uwezo wa ku operate sehemu yoyote ile. Unamjua arshavin wewe?
ShushushuSerikali iliona mbali katika lipi?
Kuna tatizo gani CEO mnyarwanda kuteuliwa na kupewa kazi katika serikali ya Rwanda ??
Alikuwa shushu mkuu that's why working permits ziligomaSerikali iliona mbali katika lipi?
Kuna tatizo gani CEO mnyarwanda kuteuliwa na kupewa kazi katika serikali ya Rwanda ??
Ila mbumbumbu banaBila simba kagame asingemuona!
Pure Nyaruland yule dada yake nmewahi date nae kanipa full mkandaBiteko sio Mnyarwanda
Watu wanachanganya Sana lakin ukiwa umekulia au umezaliwa mikoa ya mipakani hii tabu ni yako