"Chacha Died - I won't" Kauli ya Zitto baada ya mgogoro wake na CHADEMA

Ndo maana Mpina anasema kifo Cha magufuli kichungizwe huenda ni chadema hao wanao toa adhabu ya vifo kwa wanasiasa

Serikali ya ccm wameshindwa kufanya uchunguzi wa vifo vyenye utata

Lakini wakiombws waruhusu wapelelezi binafsi Toka nje kwenye mashirika yenye weledi kuwazidi hawataki

Tuite watu Toka nje waje watusaidie upelelezi
Mbona hela ya kuendesha serekali tunaomba nje

Hivi karibuni tutaomba na hela ya uchaguzi
 
Pole
 
He “won’t die “ or he won’t get killed?

Everyone will and must die.

If Wangwe die, he too will die.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…