Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini wasikatae?Nilisikia mwanamama mmoja mbunge alipoongea muda ukaisha akaambiwa "...unga mkono hoja..." Akaunga akibabaika.
Kwahiyo, ukiacha kutopewa muda bado wanashinikizwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hata pesa aliyopewa Kwa bahasha hakujua ni ya nini!!Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Sijawahi kuwa na imani na wabunge wa ccmNdiyo hawa hawa waliopitisha kipindi kile cha JK, sheria ya gesi kwa hati ya dharura! Na mpaka leo hii gesi yetu ni mali ya mabeberu.
Hatuna imani na bungeHao ndio wateule wa chama Cha Mambuzi.
Posho zipo juu snWabunge wa ccm hawajawahi kuwa na ueledi wa mambo yanayohitaji kutumia akili
Jiwe alitukosea sana kujichagulia wabunge badala ya kuwaachia wananchi tufanye sisi uchaguziKwamba hata pesa aliyopewa Kwa bahasha hakujua ni ya nini!!
Tatizo sio usomi tatizo kukosekana kwa uzalendo;Ndo maana mimi naona kuna haja ya kuangalia vipengele vya namna jinsi gani wabunge wanapatikana. Maana elimu ni muhimu na maarifa ni muhimu zaidi
Hatari sn kuwa na wabunge wajinga kiasi hikiWangekuwa wanaelewa tusingekuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo.
Alitaka wamuongezee muda wa kutawalaJiwe alitukosea sana kujichagulia wabunge badala ya kuwaachia wananchi tufanye sisi uchaguzi
Tusisahau, sifa ya kuwa mbunge hapa Tanzania ni kujua kusoma na kuandika na usiwe chini ya la saba..!!! Sasa la saba wetu wa shule ya msingi Nanguruwe unategemea ajuwe kiingereza kilichoandikwa kwenye mkataba wa DPW na Tanzania?Lakini amekiri kutokujua kilichoandikwa na kama yeye kakiri bhasi huenda wapo wengi ambao hawakuelewa pia WASAMEHEWE
Asante Mungu, Maneno ya Mwabukusi yametimia, wamekiri kwamba hawakujua walicho pitisha.Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Ndio yeyeHuyo maboto ndio mmilikiwa Ile taasisi ya mikopo umiza inayoitwa maboto finance? Au ni majina tu
Hao hao maana ni musoma teamHuyo maboto ndio mmilikiwa Ile taasisi ya mikopo umiza inayoitwa maboto finance? Au ni majina tu
Lakini Mungu akaamua alivyotaka yeye maana yeye ndiye Alfa na OmegaAlitaka wamuongezee muda wa kutawala
Ccm hawajawahi kuwa makini kwenye kusoma mikatabaAsante Mungu, Maneno ya Mwabukusi yametimia, wamekiri kwamba hawakujua walicho pitisha.
Huyu atatimuliwa kesho asubuhiMbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Hatari snLakini Mungu akaamua alivyotaka yeye maana yeye ndiye Alfa na Omega