Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Tusisahau, sifa ya kuwa mbunge hapa Tanzania ni kujua kusoma na kuandika na usiwe chini ya la saba..!!! Sasa la saba wetu wa shule ya msingi Nanguruwe unategemea ajuwe kiingereza kilichoandikwa kwenye mkataba wa DPW na Tanzania?
Kumbuka maneno ya mbunge aliyekuwa wa ccm ndugu Ole Medei kuwa wabunge wote wa ccm huwa wanaandikiwa nini cha kuongea
 
Mishahara na posho zishuke kwa 70%
 
Aahaaaaa
 
Wangekuwa wanaelewa tusingekuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo.
Wataelewaje wakati Spika aliwapitishia vimemo toka kwa M/K Taifa wa chama chao kabla ya mkataba wenyewe?.

Suala la mkataba wa Bandari wakulaumiwa ni watu watu:
1. Mwenyekiti wa CCM Taifa
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
3. Spika wa Bunge la JM wa Tanzania.
 
Bora kukaa kimya, anajiabisha zaidi, unagombeaje ubunge kama lugha rasmi hujui?
Kwani kujua Kiingereza ni kigezo cha kugombea ubunge?!
Ninachojua ili uwe mbunge sharti ujue kusoma na kuandika. Na bahati nzuri au mbaya haijainishwa ujue kusoma na kuandika lugha ipi!
 
Katiba wanabadilisha tu hawa mbwa hata iwe nzuri kiasi gani, mbona sasa wanataka kubadilisha sheria za umiliki wa ardhi watashindwa kubadilisha wanachokitaka?
Katiba itatupa fursa ya kuwang'oa CCM madarakani
 
Kwani kujua Kiingereza ni kigezo cha kugombea ubunge?!
Ninachojua ili uwe mbunge sharti ujue kusoma na kuandika. Na bahati nzuri au mbaya haijainishwa ujue kusoma na kuandika lugha ipi!
Wabunge wa ccm n majanga
 
Mswaada na mkataba ulikuwa kwa Kingereza??
 
Kuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.
Mbunge anatakiwa awe na staffs wake na wanasheria wake mwenyewe binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…