Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mtoto wa Mbowe, James Mbowe amefanikiwa kupata michango ya m 5 kwenda kumnusuru yule mtoto fala aliyekuwa akidhani serikali ina mchezo mchezo, huyo huyo Mbowe ameshindwa kuhamasisha wenzake kumchangia Lissu apate gari jipya.
Fuatilieni vzr hawa chadema, yaan watu wa kabila la Mbowe wako wamoja sana kufanya mambo yao kuliko ya kitaasisi, Lissu anachangiwa na demu wake Maria Sarungi hadi leo wanahaha kuchangisha na chadema wameuchuna tu, leo yule fala aliyechana picha ya presidaa kakombolewa kwa michango ya watu wa kabila la Mbowe.
Ndugu yangu Lissu, kama unanisoma nakushauri sana achana na Chadema, Mchungaji Msigwa alibaini haya maupuuzi mapema tu.
Halafu nyie jamiiforuma mkiona post ya kuisema Chadema haikai sana hapa mtandaoni mnaiondoa, zile za kutukana serikali na chama ndio mnazipa kipaumbele.
Fuatilieni vzr hawa chadema, yaan watu wa kabila la Mbowe wako wamoja sana kufanya mambo yao kuliko ya kitaasisi, Lissu anachangiwa na demu wake Maria Sarungi hadi leo wanahaha kuchangisha na chadema wameuchuna tu, leo yule fala aliyechana picha ya presidaa kakombolewa kwa michango ya watu wa kabila la Mbowe.
Ndugu yangu Lissu, kama unanisoma nakushauri sana achana na Chadema, Mchungaji Msigwa alibaini haya maupuuzi mapema tu.
Halafu nyie jamiiforuma mkiona post ya kuisema Chadema haikai sana hapa mtandaoni mnaiondoa, zile za kutukana serikali na chama ndio mnazipa kipaumbele.