CHADEMA andaeni mapema mgombea wenu wa nafasi ya Rais wa JMT 2025 kwa sababu Tundu Lissu passport yake iliibwa. Msituletee mCCM kama 2015

Si uwaambie ACT
 
Chadema ili ishinde ni lazma wabadr kwanza mindset zao za kipumbavu ndipo mengine yafuate...
Hoyaa unaandika nini wewe? Wahi kalete ule mpunga wetu wa Escrow mliobeba kwenye misandarusi! Unajua tuna njaa tunakumbuka ujambazi wote wa chama cha majambazi.

Usisasahau na ile 10% ya manunuzi ya ndege ambazo hanghigher wenu anasusia! Halafu msisahau zile 1.5Trilion tunazihitaji sana hasa kipindi hiki kigumu!

Tunawaomba sana sana mambo ya kutembeza mabakuli kwa niaba yetu huku mkipiga zile tulizochuma kwa jasho letu muache! Tutaonana wabaya siku si nyingi mjue nyie manyang'au wahead!
 
Vipi kuhusu tume huru ya uchaguzi?
Chadema ya sasa hivi ni octopus. Inakwenda kotekote tu bila mwelekeo maalum. Siku zote ni makosa mtu mmoja kukaa na madaraka kwa muda mrefu sana. Mifano ipo mingi sana duniani kuwa absolute power corrupts.
 
Mgombea wetu ni ndungai
 
Punguza ujinga usio na faida.ni chadema gani hiyo inayoendesha mambo yake kupitia space?.Maana kama huwezi kutofautisha agenda na majukumu ya chama na harakati na hoja za wanachama na wafuasi wa chama unakua huna mamlaka yoyote ya kuishauri chadema.Unapaswa ujielimishe kwanza uelimike.Vinginevyo una nia ovu yakupotosha.Mengine uliyoandika sina haja nayo maana ni upupu mtupu ulioandika.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe akijitoa tu kwenye Uenyekiti,fasta sana wanapachikwa mamluki. Mi naona aendelee tu hadi kifo. CHADEMA kinawindwa kwa mbinu kemkem.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Lissu anahesabika kama mkimbizi wa kisiasa huko belgium...na amewaaminisha wenyeji wake kama Tanzania sio sehem salama tena kwake...sasa 2025 aje kufanya nini? hamuoni contradiction hapo...yaani eti anakuja afrika anakomea kenya, lakn akija 2025 kwenyewe hakuna matishio kwake
 
Mimi napendekeza 2025 CHADEMA imsimamishe MWAMBA mwenyewe Freeman Mbowe na mgombea mwenza Salumu Mwalimu anatosha.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu Yohane Mbatizaji, johnthebaptist, hii ni habari njema sana!, kumbe wenzetu umeishajua kuwa atafutiwa mashitaka na akihukumiwa then ni kifungo cha miezi 6 tuu, hivyo kuweza kugombea uongozi.

Kwa msio fahamu, mtu ukikutwa na hatia da kosa la jinai, ukahukumiwa kifungo cha zaidi ya miezi 6, unapoteza sifa za kugombea uongozi wowote wa kuchaguliwa! .
Ref:
P
 
1. Mtu huyo huyo kandamizi na mshikilia chama kidikteta anapingwa kwa kila namna mpaka kubambikiziwa kesi ya ugaidi, kisha ccm wanamwogopa!
2. Nini maana ya upinzani wasipopinga? Au unataka kila mtu awe Zito?
3. Raisi atakosolewa kwa kila jambo, Wewe wa praise and worship endelea lakini wanaopinga ni haki yao!
 


Wamesha sema hawagombei mpaka tume huru sasa kwanini ni wagumu kuelewa😂😅
 
Mbowe hatoki jela,labda watafute mwingine!! hamjui kusoma nyakati !! labda after............
 
Kwan huyo mwenyekiti wa muda mrefu huwa anajiweka kwenye Madaraka au anapigiwa kura Na wanachama?? tuanzie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…