CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025

CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025

Mgewashauri CCM wa ruhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya Uchaguzi, na wasiruhusu wakurugenzi kusimamia chaguzi.
Hawa CHADEMA mnawaonea sana. Hawana jeshi kama HAMAS hawawezi lolote bila haki kutendeka.
 
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.

Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.

Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.

Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.

Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.

Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.

Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.

2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.

3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.

Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.

Tanzania kwanza, chama baadae
Unajidanganya bure, hakutakuwa na ushindani wowote ule wa kisiasa kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025.
CCM kuendelea kubaki Madarakani hawategemei kupigiwa kura na mtu yeyote yule.

Wapinzani nchini Tz wanadhindana na CCM ktk njia isiyokuwa sahihi. Njia muafaka kwa wao ni ku-adopt na kufanya "Siasa za Jino kwa Jino," hapo ndipo wataweza kuishinda CCM.
 
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.

Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.

Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.

Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.

Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.

Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.

Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.

2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.

3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.

Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.

Tanzania kwanza, chama baadae
Tatizo la chadema ni kutokuijua nafasi yao na imani ya wananchi kwao,kuna vitu vingi vinanatukwaza sana ila viongozi hawavifanyii kazi.Kwamfano suala la ofisi linatuaibisha sana,ukisema ukweli unaonekana msaliti.Most of the leaders ni wajuaji mno.Niliwahi kuwapa mikakati ktk jimbo moja Manyara,duh 🙄 yaliyonikuta ni kebehi na kejeli kutoka kwa aliyekuwa akigombea,uongozi na chawa wao.Hili lipo hata huko juu,"Tujisahihishe",by J.K.Nyerere
 
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.

Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.

Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.

Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.

Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.

Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.

Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.

2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.

3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.

Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.

Tanzania kwanza, chama baadae
CC: Tumaini Makene Erythrocyte CHADEMA
 
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.

Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.

Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.

Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.

Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.

Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.

Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.

2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.

3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.

Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.

Tanzania kwanza, chama baadae
Mkuu Magufuli 05 ushauri wako kwa ndugu zetu, wa vyama vya mageuzi sasa ni mwaka 2024, uchaguzi wa serikali za mitaa huo,

Na mwakani 2025 uchaguzi mkuu mkuu,

Je wameufanyia kazi ushauri wako hadi sasa? vyama vya upinzani Tanzania tunatamani kusikia sera na hoja zenu kwa ukamilifu, kwenye Taarifa ya habari haitoshi.
Je mna Radio ipi na channel ya Tv ipi hadi sasa kwa wananchi wa mjini na wapiga kura wengi wa vijijini?
Gazeti lenu na Youtube channel zenu haziwezi kuwafikia watanzania wengi, CHADEMA Mdude_Nyagali, Abdul Nondo
 
Mkuu Magufuli 05 ushauri wako kwa ndugu zetu, wa vyama vya mageuzi sasa ni mwaka 2024, uchaguzi wa serikali za mitaa huo,

Na mwakani 2025 uchaguzi mkuu mkuu,

Je wameufanyia kazi ushauri wako hadi sasa? vyama vya upinzani Tanzania tunatamani kusikia sera na hoja zenu kwa ukamilifu, kwenye Taarifa ya habari haitoshi.
Je mna Radio ipi na channel ya Tv ipi hadi sasa kwa wananchi wa mjini na wapiga kura wengi wa vijijini?
Gazeti lenu na Youtube channel zenu haziwezi kuwafikia watanzania wengi, CHADEMA Mdude_Nyagali, Abdul Nondo
Siyo rahisi kama unavyofikiri. Umewahi kujiuliza ni kwa nini ni rahisi kwa "Main stream media" kuishambulia CHADEMA kuliko kuandika habari zake za kweli hata bila ya kuisifia??
 
NI kama Chadema hakiko serious kukiondoa CCM madarakani. Ni kama kimeamua tu kuwa chama Cha upinzani lakini si kutaka kushika dola! Kinawwudhi wapenda mageuzi.

Yapo mambo kadhaa ambayo kiukweli kimefanya vizuri na kufanikiwa na kinastahili pongezi.

Kikiwa hakijilikani sana chini ya Dk. Slaa Chadema kilianzisha programu ya kuwashika wanafunzi wa vyuo vikuu ambao waliporudi majumbani "walimwaga simu" kwa wanavijiji kuhusu demokrasia. Ikumbukwe wasomi huaminika sana vijijini. Sumu hii ilizaa uelewa mkubwa kiasi cha Serikali kupiga marufuku siasa vyuoni. Lakini iliwaongezea Chadema kuzama mioyoni mwa Watanzania wengi hususan vijana.

Chadema kilitumia vibaya tangazo la UKUTA. Hii ilikuwa ni fursa muhimu kukiondoa CCM madarakani hata kama damu ingemwahika. Hakuna ukombozi bila ya damu. Kinachomwagiwa damu Mashariki ya Kati baina ya Israeli na Palestina ni ukombozi.

Programu ya Chadema Msingi imekieneza mno Chadema nchini. Kongole kwa waliobuni jambo hilo. Lakini nchi hii ni kubwa mno ndugu zangu. Hamkufika kila mahali na kwa kila mtu.

Nawashauri kwa sasa tumieni fedha kidogo kuanzisha Kituo Cha Redio. Tafiti nyingi zinaonesha Watanzania 67% hupata taarifa kupitia redio. Msihadaike na social media. Matangazo ya urembo kwenye smartphones ni mbwembwe tu. Ni muhimu lakini msidhani mama yangu kule kijijini anaweza kupangusa simu janja kumuona Mbowe kwenye chopa. Sipingi matumizi ya smartphones kueneza chama lakini mjiulize mnawafikia wangapi?

Redio hata Mzee pale Kijiji akiwa shambani anapalilia lakini pembeni anayo karedio kake anapata somo la Uraia. Hapo ndipo CCM inapopatia wapiga kura.

Acheni mbwembwe nendeni kijijini kupitia redio kuvuna watu mijini tayari wamesharevuka. Sasa muwe na operesheni "Chadema Vijijini". Tokeni town tayari mnajulikana.

Msihadaike na mikutano mikubwa ya kudai Katiba Mpya. Kupitia redio mtatoa elimu juu ya Katiba Mpya saa 24 na mtaeleweka. Mkutano mmoja mkubwa hautoshi. Mliwahi kumiliki gazeti la Tanzania Daima lakini nalo halikutosha maana lilitoa nakala 10000 kwa Watanzania 60m. Nawaambia anzisheni radio station.

Kuna ushindi ambao hata mwizi wa kura anaogopa na hii hutokana na wingi wa kura unaoweza kutokana na uelewa wa mabadiliko. Hivi mnadhani huko kijijini wazee wangu wanamjua Mdude Nyangali? Nendeni vijijini kupitia redio mnakiondoa CCM madarakani asubuhi sana.
Hivi akina Mnyika, Mbowe, Zitto, Hashim Rungwe, John Cheyo, Shibuda, Hamad Rashid, Pro Lipumba nk nk waliisoma hii????
 
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.

Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.

Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.

Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.

Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.

Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.

Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.

2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.

3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.

Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.

Tanzania kwanza, chama baadae
Umeandika vizuri shida ni kumtaja mwendazake
 
Vyombo vikuu vya habari hawatangazi shughuli za Chadema. Siyo haki kwa TBC na hata ITV kufamya kazi kama mali ya CCM.

Ni muhimu Chadema kuanzisha vyombo vyao vya habari. Sina shaka kukiwa na TV Chadema itapata watazamaji wengi sana.

Siyo kazi ndogo kuanzisha TV lakini Chadema siyo chama kidogo. Buy an existing TV company if you can
.
 
Kweli kabisa,ni wazo ambalo linaweza kuleta mabadiliko makubwa katika tasnia y siasa nchini. Kwa Sasa wanayo ofisi nzuri sana inayoendana na sifa ya chama
Nguvu ya kuwekeza kwenye vyombo vya habari ni muhimu sana. Na sio kabisa kujikita kwenye online Tv. Watu wanahitaji Television and Radio broadcasting.
 

Attachments

  • 20240204_210300.jpg
    20240204_210300.jpg
    32.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom