Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera zipi ?Lissu ni mtego wa kisiasa ambao umeshashtukiwa tayari.
Hakuna kupeana umaarufu wa bure bure CCM imejikita kwenye sera tu.
Chama cha upinzani pamoja na ruzuku kedekede hata kujenga ofisi tu wameshindwa, nchi wataiweza? 🤣Chama dola hakina sera, kwa miaka mitano tunapigiwa nyimbo za kumtua mama ndoo, elimu bure bila walimu na vituo vya afya bila wauguzi.
Zilizo ndani ya kitabu cha kurasa 303.Sera zipi ?
Chama cha upinzani pamoja na ruzuku kedekede hata kujenga ofisi tu wameshindwa, nchi wataiweza? 🤣
Mihayo =jina la kwetu
Nadhani ulimaanisha miayo.
Mtaji wa CCM ni watu wasiojitambua.
Acha masihara wewe! Ni 2020 to 2025 au 2020 to 2030?Kiki hakuna...
Viva Magu 2020 to 2030.
Chadema bila polisi hamna kitu kabisa zaidi ya mwezi sasa wanaoperate freely hawamake headlines tena, kila gazeti ni mafuriko ya JPM.
Zuchu ana jina kubwa mikoani kuliko Lissu.
Wanataka hata Leo wakamatwe na polisi ili waandishi wapate cha kuandika lakini wapi. Mdee hapumui huko alipo Gwajima kamshika pabaya, Sugu kapewa ya mbao na mama la mama.
View attachment 1579973
Acha mawazo mgando.ndo Mana mlimpiga risasi 16 ili tusipate ivyo.Musa alivyowakomboa Wana wa Israel je sio Enzi za yesu??au Enzi za zuchu na fid q???Fanya kazi mkuu utapata maendeleo. Uhuru na haki ni vitu ambavyo mpaka tutakufa hatutavipata.
Havikupatikana tangu enzi za Yesu na Mohamed sisi ndio tuje kuvipata!!.
Kiki hakuna...
Viva Magu 2020 to 2030.
Acha masihara wewe! Ni 2020 to 2025 au 2020 to 2030?
We ata 2000/=hupewi lumumba.pumba tupuSky ,Afadhali ya CCM imejitahidi na mengi katika ulani yaje wametimiza. Ukutaka kumpima mtu kwenye majukuma ya umma , kwanza unaangalia anavyoyatekeleza majukumu yake.
Chadema imefeli sana kwenye majukunu yake ya kichama, wataweza majukumu ya kitaifa.
1. Chadema wameshindwa kuweka sawa mahesabu ya chama.
2. Upendeleo wa kindugu, kikanda na kimapenzi.
3. Kuto imaarisha Offisi za chama makao makuu na mikoani.
Yan nyie ambao mlifanya kampeni miaka mitano Peke yenu
Kwa haya yanayotokea ilitakiwa mfukuzwe kazi kabisa
Hamna la kujitetea kabisa, ilitakiwa mkutano wa Lisu uwe kama wa mzee rungwe
Chadema bila polisi hamna kitu kabisa zaidi ya mwezi sasa wanaoperate freely hawamake headlines tena, kila gazeti ni mafuriko ya JPM.
Zuchu ana jina kubwa mikoani kuliko Lissu.
Wanataka hata Leo wakamatwe na polisi ili waandishi wapate cha kuandika lakini wapi. Mdee hapumui huko alipo Gwajima kamshika pabaya, Sugu kapewa ya mbao na mama la mama.
View attachment 1579973
Kama unaamini Lissu ni mkombozi wako basi fanya hima ukaombewe mapema sana kabla haujaharibikiwa zaidi.Acha mawazo mgando.ndo Mana mlimpiga risasi 16 ili tusipate ivyo.Musa alivyowakomboa Wana wa Israel je sio Enzi za yesu??au Enzi za zuchu na fid q???
Nashauri ikifika 2025, CCM na CHADEMA waungane. Hatuna haja ya kuwa tunaendelea kulumbana hata kama Serikali iliyoko madarakani inafanya mambo ya maana ya kuwasaidia wananchi. Vinginevyo kuna siku Mungu ataachia kidogo halafu nchi itauzwa. Bora uishi ukiwa unatawaliwa na mkoloni, kuliko kuishi kwenye nchi iliyouzwa. Situation iliyoko Libya sasa hivi inasikitisha sana, watu wanaishi masiha utafikiri wamekufa, ni mizoga. Solution ni kuviunganisha hivi vyama, kama tunataka kuendelea kuwa salama.[emoji3][emoji3]its a joke mkubwa
hata Marekani Mbunge wa Texas hawezi kwenda kuhutubia siasa jimbo la Chicago...
Siasa ziliruhusiwa kila mtu jimboni kwake.
Viva Magu 2020 to 2030