Uchaguzi 2020 CHADEMA bila polisi ni wepesi kama pamba, Lissu anaomba hata leo akamatwe lakini wapi

Naunga mkono hoja 100%....

JPM amalize awamu yake ya ujenzi wa infrastructures.... kisha uwepo utawala wa pamoja.
 
Green cards zinatolewa kila jimbo mkuu?
Passport zinatolewa kila jimbo?

sina uhakika kama Polepole alikuwa anafanya siasa majukwaani kila jimbo
Tanzania ni states?
Huko Marekani kila jimbo unapata kila kitu huko huko

Hapa kitambulisho cha nida tu Mpaka wote tujae dar es salaam

And pia, mbona pole pole alikuwa anazunguka majimboni yy ni mbunge wa jimbo gani? *
 
Green cards zinatolewa kila jimbo mkuu?
Passport zinatolewa kila jimbo?

sina uhakika kama Polepole alikuwa anafanya siasa majukwaani kila jimbo

Last time umeenda lini Marekani? Nisije kuwa nabishana na mtu ambae hujui anything

Pili Sasa timu inafanya usajiri mbovu is ndio muache muwafunge vizuri?

Sasa mnapiga makelele ya nn wakati mnajua chadema inasema uongo na nyie ndio wa kweli
 
Yaani mpaka wanajishangaa wanaishije bila mikiki mikiki ya kukamatwa?
 
Chama dola hakina sera, kwa miaka mitano tunapigiwa nyimbo za kumtua mama ndoo, elimu bure bila walimu na vituo vya afya bila wauguzi.
utapeleka wauguzi bila vitua miundombinu kwanza then vitendea kazi........ Tafakali kwanza hili
 
CCM mmekamatika....!! Ongezeni idadi ya wasanii zaidi kuvuta watu !!
 


Hizi picha na wao wakianza kuleta mvumilie mjue.
 
Watu kuchanganyikiwa kwa mtiti wa huyu jamaa sii headline.
 
Umeandika kinyonge sana pole sana mkuu.
 
Mk Mkuu akili umeziacha wapi
 
Cha ajabu hapa ni kipi? Mbona Kupiga mihayo ni jambo la kawaida tu?
 
Uzi kama huuhuu ukisema CCM bila police ni wepesi km nyoya. Mods anaufuta na kukupa ban[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…