Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
 
Napendekeza Chadema wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni Wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
Unamsema Madelu au
 
Napendekeza Chadema wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni Wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.
 
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.
Ukitaka kumdhalilisha magufuli weka mdahalo wa lugha ya malikia
 
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.
Ni kichaa tu anaeweza kuamini hizo takataka za chadema zinaweza kushindana na jembe magufuli!!! Achilia mbali kumshinda
 
Ukitaka kumdhalilisha magufuli weka mdahalo wa lugha ya malikia
Ingekuwa lugha ya malikia Ni Jambo muhimu mlevi wa taifa angeshakuwa raisi siku nyingi pamoja na kupata division zero
 
Ni kichaa tu anaeweza kuamini hizo takataka za chadema zinaweza kushindana na jembe magufuli!!! Achilia mbali kumshinda
Kwa hiyo tatataka ya ccm itashinda takata za cdm. Kwa hiyo wagombea ni takataka!
 
Ni kichaa tu anaeweza kuamini hizo takataka za chadema zinaweza kushindana na jembe magufuli!!! Achilia mbali kumshinda
Huyu dikteta wenu kwa ushamba wake mwisho Tanganyika na chattle hathubutu kufika nchi nyingine.
 
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
Naunga mkono hoja, tena moderator wa hiyo debate awe pia ni Kaka mkubwa mwenyewe mwana Ilboru mwenzao. Mume wa yule dada Ph.D anayegombea urais Chadema pia ni mwana Ilboru!.
Kiukweli Ilboru usipime!.

P
 
Mwaka 2015 chadema ilikimbia mdahalo sijui kipindi hiki wameona nini au wanadhani itawasaidia chama kisife
Naunga mkono hoja, tena moderator wa hiyo debate awe pia ni Kaka mkubwa mwenyewe mwana Ilboru mwenzao. Mume wa yule dada Ph.D anayegombea urais Chadema pia ni mwana Ilboru!.
Kiukweli Ilboru usipime!.

P
 
Unaleta mambo ya form nyoa katika maisha ya sasa
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
 
I agree,kuwe na fair ground ambapo tutachuja nani awe mgombea wetu….
 
Back
Top Bottom