Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Naona mkono hoja asilimia 100. This is a creativity that Chadema must come up with ili sio tu kukitofautisha na CCM Kama Chama bora Bali kuonesha ni kwa jinsi gani wana watu mahiri wenye uwezo haswa. Suala hili litawafanya Chadema wawaonyeshe watanzania kuwa kweli ni Chama makini tena kilicho kwenye viwango vya juu sana.

Naomba Chadema wafanye hili kwa kushirikiana hata na Chanel ya Maria Sarungi . Jambo hili litawatangaza sana na kupita kiasi
 
Mdahalo wa nini wakati JPM kazi yake tunaiona na kuiishi?

Fanyeni midahalo nyinyi ambao ni incompetence!
 
Naunga mkono hoja, tena moderator wa hiyo debate awe pia ni Kaka mkubwa mwenyewe mwana Ilboru mwenzao. Mume wa yule dada Ph.D anayegombea urais Chadema pia ni mwana Ilboru!.
Kiukweli Ilboru usipime!.

P


Niko bias kidogo maana tuna ukaka watu tuliosoma Ilboru na wengi tunajuana hata familia. Nilisha sema Nyalandu ni anaendana an Chadema maana ni mtu ana fikra za ambazo si za Mkumbo. Mchungaji Msigwa simjui vizuri sio mzuri kwa mawazo yangu kama Lissu na Nyalandu. Elimu sio PHD ndugu zangu kuna wengi sana sana wanabebwa na walimu wao kupata PHD hizi msishangae hakuna waziri anakataliwa PHD pale mlimani au mzumbe!!. Lakini angalieni Nyalandu au Lissu kwenye kujieleza halafu linganisha na hao PHD uone tofauti kumbe yale mafunzo ya Ilboru yanalipa. Mtafute mwana Ilboru asijejua kujieleza hutampata.
 
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994

Ingependeza viongozi wa vyama vyote wanaogombea uongozi vifanye debete; lakini nijuavyo, CHADEMA, ACT na NCCR wanawezajitokeza, lakini ccm hawatajitokeza kabisa......
 
Toka nianze kuwasikiliza viongozi wa nchi yangu Mwalimu ndiye alikuwa mzuri kwa kimalkia.... hawa wengine kujin'gatan'gata kwingi saana.

Japo lugha sio ishu saana.
 
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994

Wazo zuri sana sana. Napenda sana kuona uwezo wa viongozi ukianza kupimwa kwa midahalo. Hili litasababisha kuwa na mdahalo wa urais wa nchi pia.
 
Mwaka 2015 chadema ilikimbia mdahalo sijui kipindi hiki wameona nini au wanadhani itawasaidia chama kisife

Cdm haikukimbia mdahalo, bali mgombea urais wa ccm kupitia cdm ndio alikimbia. Na tunajua mnaogopa mdahalo wa urais kupita kiasi maana mnajua Yesu lazima ile kwake.
 
Naunga mkono hoja, tena moderator wa hiyo debate awe pia ni Kaka mkubwa mwenyewe mwana Ilboru mwenzao. Mume wa yule dada Ph.D anayegombea urais Chadema pia ni mwana Ilboru!.
Kiukweli Ilboru usipime!.

P

Mtu sahihi wa kuongoza huo mdahalo ni Dotto Bulendu, na mdahalo napendekeza usiwe chini ya masaa matatu. Hii itawaingiza ccm kwenye pressure ya kuchekwa na jamii iwapo watakimbia mdahalo.
 
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.
Magufuli ana elimu kubwa sana( ana doctorate ya chuo kikuu cha Dar es salaam) kuliko Lissu na Nyarandu altogether
 
Magufuli ana elimu kubwa sana( ana doctorate ya chuo kikuu cha Dar es salaam) kuliko Lissu na Nyarandu altogether
Tuulize tukwambie hiyo "doctorate " nani aliifanya kwa niaba ya mtu pale chemistry department (UDSM) mwaka 2004 na yule lecturer aliyemgawia hiyo kitu ana cheo gani leo hii serikalini, tunajua yote ni suala la muda kabla ya ku-revoke hivyo "doctorate".
 
Magufuli ana elimu kubwa sana( ana doctorate ya chuo kikuu cha Dar es salaam) kuliko Lissu na Nyarandu altogether

Mdahalo has nothing to do with education level. Tuko umemjua umewahi kumuona kwenye mdahalo wowote? Kwenye mdahalo ni uwezo wa kujieleza tu.
 
Mdahalo has nothing to do with education level. Tuko umemjua umewahi kumuona kwenye mdahalo wowote? Kwenye mdahalo ni uwezo wa kujieleza tu.
Magufuli ana uwezo wa kujielezea kisomi zaidi kuliko Lisu na Nyarandu altogether
 
Tuulize tukwambie hiyo "doctorate " nani aliifanya kwa niaba ya mtu pale chemistry department (UDSM) mwaka 2004 na yule lecturer aliyemgawia hiyo kitu ana cheo gani leo hii serikalini, tunajua yote ni suala la muda kabla ya ku-revoke hivyo "doctorate".
Hata kununua elimu nayo ni talanta
 
Back
Top Bottom