Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu.

Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za debate Ilboru. Debate yake kubwa ilikuwa mwaka 1986 na topic ya kuhusu Regan kupiga bomu nyumba ya ghadafi oppose wake alikuwa Joseph Mpuya ambaye naye kwa sasa ni wakili. Lissu alishinda na ndiyo model ya debate pale Ilboru mpaka Leo. Huu utamaduni umesaidia sana Ilboru kutoa mawakili waziri sana.

Waziri wetu wa sheria bahati mbaya ni wale wa kurudia sana akaingia form 1 akiwa na miaka 19!! njemba sana kiasi kwamba wenye umri wake tulikuwa form 5 mwaka 1994
CDM kwa sasa ndiyo "think thank" ya nchi ktk masuala ya uongozi. Naunga mkono hoja iliyopo ndani ya mada hii murua.
 
Kwa kutumia tume isiyo huru ya uchaguzi, na mbeleko ya vyombo vya dola.
Tume ni huru na ipo kikatiba na ndio maana chaguzi zote mlishiriki na tume hii hii ndio mkapata wabunge waropokaji hovyo hovyo bungeni Sasa Kama sio huru hata mlevi wa taifa asingekuwa kub!!!
 
Wakati ule upinzani unaanza kuchipukia ktk miaka ile ya 1990's nakumbuka Baba wa Taifa alitoa kauli kuwa hawezi kukubali nchi ikaangukia mikononi mwa MBWA. Lakini kwa mazingira tuliyopo hivi sasa nafikiri imefika wakati wa kutokukubali tena nchi yetu iwe mikononi mwa FISI.

Nahisi hii ingalikuwa ni kauli thabiti kutoka mdomoni mwa Baba wa Taifa ktk mazingira ya kisiasa ya sasa, ijapokuwa mjane wake kahongwa kwa tausi 25, pasipo kuzingatia misimamo yake wala umri wa mjane aliokuwa nao hivi sasa. Na hata pia umuhimu wa hao tausi ktk maisha yake ya sasa ya uzee wake.
 
So wale walioidhinisha hyo lugha kuwa rasmi ni vituko na vilaza?
Ingekuwa vituko kwa raisi wa ufaransa wa Russia yule mama wa ujerumani wazungu lakini wanaongea lugha yao acha china Korea Japan na Kama mlevi wa taifa kizungu chake kilimsaidia Nini mbona Ni faillier division zero? Na Jana wakati anaongea na Narendra modi j.mukya alikuwa mkalimani au?
 
Tume ni huru na ipo kikatiba na ndio maana chaguzi zote mlishiriki na tume hii hii ndio mkapata wabunge waropokaji hovyo hovyo bungeni Sasa Kama sio huru hata mlevi wa taifa asingekuwa kub!!!

Acha kupanick mpaka huweki koma wala nukta. Tume ni huru kwenye maandishi ya katiba, ila kwa sasa chini ya awamu hii, katiba ni sawa na gazeti la udaku. Hao wabunge walipatikana wakati demokrasia na katiba ikiwa inaheshimiwa kwa wastani. Ila toka awamu hii ya walevi wa madaraka imeingia, udhaifu wa tume umekuwa wazi kabisa. Kilio cha tume huru ni toka mfumo wa vyama vingi viingie hapa nchini, na sasa chini ya awamu hii, kila mtu kajiridhisha na kilio hicho.
 
Jibu swal ww nguchiro, hzo nchi ulizozitaja znatumia lugha gan kama lugha rasmi?
Ingekuwa vituko kwa raisi wa ufaransa wa Russia yule mama wa ujerumani wazungu lakini wanaongea lugha yao acha china Korea Japan na Kama mlevi wa taifa kizungu chake kilimsaidia Nini mbona Ni faillier division zero? Na Jana wakati anaongea na Narendra modi j.mukya alikuwa mkalimani au?
 
Wakati ule upinzani unaanza kuchipukia ktk miaka ile ya 1990's nakumbuka Baba wa Taifa alitoa kauli kuwa hawezi kukubali nchi ikaangukia mikononi mwa MBWA. Lakini kwa mazingira tuliyopo hivi sasa nafikiri imefika wakati wa kutokukubali tena nchi yetu iwe mikononi mwa FISI.

Nahisi hii ingalikuwa ni kauli thabiti kutoka mdomoni mwa Baba wa Taifa ktk mazingira ya kisiasa ya sasa, ijapokuwa mjane wake kahongwa kwa tausi 25, pasipo kuzingatia misimamo yake wala umri wa mjane aliokuwa nao hivi sasa. Na hata pia umuhimu wa hao tausi ktk maisha yake ya sasa ya uzee wake.
Naunga mkono mbwa hawawezi kutawala nchi hii
 
Hoja safi sana hii. Hawa wagombea watatu lazima waiingie kwenye mdahalo.
 
Lisu, Nyarandu, na Msigwa lazima washindane kwa hoja kwenye mdahalo.

Chadema wakifanya hivi watakuwa wametambulisha mfumo safi kabisa wa kidemokrasia ndani ya chama chao. Hii itakuwa sawa na vile vyama vya Marekani yaani Democratic na Republican. Hivi vyama mgombea wake hapatikani kilelemama.
 
Back
Top Bottom