Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Fanyeni mdahalo kwenye Urais

Acha kupanick mpaka huweki koma wala nukta. Tume ni huru kwenye maandishi ya katiba, ila kwa sasa chini ya awamu hii, katiba ni sawa na gazeti la udaku. Hao wabunge walipatikana wakati demokrasia na katiba ikiwa inaheshimiwa kwa wastani. Ila toka awamu hii ya walevi wa madaraka imeingia, udhaifu wa tume umekuwa wazi kabisa. Kilio cha tume huru ni toka mfumo wa vyama vingi viingie hapa nchini, na sasa chini ya awamu hii, kila mtu kajiridhisha na kilio hicho.
Si mkimbie uchaguzi Kama mlivyokimbia uchaguzi wa serikali za mitaa Kama tume sio huru? Sasa kulialia Kama watoto ndio iweje?
 
Jibu swal ww nguchiro, hzo nchi ulizozitaja znatumia lugha gan kama lugha rasmi?
Kama hajui kuongea kaongeaje na waziri mkuu wa India? Ndio ujue wewe Ni nyumbu!! Halafu hushangai mbowe Ni division zero
 
Si mkimbie uchaguzi Kama mlivyokimbia uchaguzi wa serikali za mitaa Kama tume sio huru? Sasa kulialia Kama watoto ndio iweje?

Safari hii tunataka na dunia itambue bila shaka yoyote kuwa tume yetu ya uchaguzi sio huru, na ccm huwa inakaa madarakani bila ridhaa ya umma. Kwahiyo mkae mkao wa kuwekwa ukweli wazi, mbele ya macho ya dunia. Yaani mtafurahi safari hii.
 
Kama hajui kuongea kaongeaje na waziri mkuu wa India? Ndio ujue wewe Ni nyumbu!! Halafu hushangai mbowe Ni division zero

Uliona wakiongea kiingereza au uliona picha? Hebu huku kwenye kiingereza ukae kimya, maana unasaka aibu kwa bundle yako.
 
Safari hii tunataka na dunia itambue bila shaka yoyote kuwa tume yetu ya uchaguzi sio huru, na ccm huwa inakaa madarakani bila ridhaa ya umma. Kwahiyo mkae mkao wa kuwekwa ukweli wazi, mbele ya macho ya dunia. Yaani mtafurahi safari hii.
Tumeshazoea utoto wenu sijui lini mtakomaa kisiasa jibu utalipata hiyo October
 
Uliona wakiongea kiingereza au uliona picha? Hebu huku kwenye kiingereza ukae kimya, maana unasaka aibu kwa bundle yako.
Nenda Google katafute video zao wakiwa nje ya nchi zao wanaongea lugha gani,
 
Nenda Google

Ni Google nini boss wakati mchezo naona hapa hapa? Uwanja wa taifa nauona hapa hapa nilipo, nikaugoogle kwanini? Una Google jambo usilo na uhakika nalo ili kupata ukweli wake.
 
Watake wasitake Chama chao lazima kife....
Chama kikiwa cha wapiga dili na wachangisha michango lazima kife.

Anguko lao linakuja oktoba.....wana bahati sana uchaguzi uliopita walipata hao wabunge 113 kwa upepo wa lowassa.

Na nakuhakikishia kwa upepo huu wa lissu na Nyalandu sijui msigwa......watapata wabunge wawili tu....

Naona chama kingine kikiwa chama kikuu cha upinzani...

CDM kwisha habari yake., its just a matter of time
 
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.

Nadhani mleta mada anamaanisha mdahalo wa wagombea ndani ya chama kwanza ambao mpaka sasa ni wanne ( yule mama wa mwanzo kabisa, Peter S. Msigwa, Lazaro Nyalandu na Tundu Lissu...

Baada ya hapo ndipo tunaweza kuona mdahalo na wagombea Urais wa vyama vyote wakichuana kwa hoja....

Hapa ndipo utakapoona shida na woga wa CCM. Pamoja na CCM kujidai wamejenga SGR, bwawa la Stiglers Gorge, ndege za Bombardier, sijui elimu bure, utashangaa mgombea wao John Pombe hataweza kujitokeza kushiriki kwenye open debate ili kuyasema na kujijitetea mbele ya wenzake....!!

Nawaambia kabisa hili la Magufuli kutoshiriki linakuja na hapa ndipo kila MTU atakaposhangaa....
 
Usitegemee dikteta yeyote afanye mdahalo na mtu. Sina shida na Lissu na Nyalandu hawa watamsumbua sana jiwe na kamwe jiwe hawezi kusimama nao kwenye mdhahalo manake ataaibika mno.
Magufuli hawezi kusimama na hao kina doktakumbuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnafikir uongozi ni kuropoka
 
I agree,kuwe na fair ground ambapo tutachuja nani awe mgombea wetu….

I agree,kuwe na fair ground ambapo tutachuja nani awe mgombea wetu….
Ujue kuna wakati huwa mnachekesha sana..

Sijui mnajigamba mna mawakili , maninii sijui....lakini bure kabisa.

Hapa unazungumzia kuwe na mdahalo mchuje wagombea wenu..wakati unajua fika kabisa chama chenu ni cha mtu mmoja.

Akishahongwa na Nyalandu tur , anakuja na gia ya kubadilishia gia angani'

Hivi si uchaguzi uliopita tu...mshasahau nyie?

Aikael anajua kabisa, kuna sheria, taratibu pamoja na miongozo ndani ya chama, Aikael anajua kuna kamati Kuu za Chama na kuna vikao halali vya kuchagua na kuchuja na akatumia mabavu..sembuse uchaguzi huu....


Nyie Demokrasia mtaisikia kwenye Chama Cha Mapinduzi tu
I agree,kuwe na fair ground ambapo tutachuja nani awe mgombea wetu….
 
Nadhani mleta mada anamaanisha mdahalo wa wagombea ndani ya chama kwanza ambao mpaka sasa ni wanne ( yule mama wa mwanzo kabisa, Peter S. Msigwa, Lazaro Nyalandu na Tundu Lissu...

Baada ya hapo ndipo tunaweza kuona mdahalo na wagombea Urais wa vyama vyote wakichuana kwa hoja....

Hapa ndipo utakapoona shida na woga wa CCM. Pamoja na CCM kujidai wamejenga SGR, bwawa la Stiglers Gorge, ndege za Bombardier, sijui elimu bure, utashangaa
Nadhani mleta mada anamaanisha mdahalo wa wagombea ndani ya chama kwanza ambao mpaka sasa ni wanne ( yule mama wa mwanzo kabisa, Peter S. Msigwa, Lazaro Nyalandu na Tundu Lissu...

Baada ya hapo ndipo tunaweza kuona mdahalo na wagombea Urais wa vyama vyote wakichuana kwa hoja....

Hapa ndipo utakapoona shida na woga wa CCM. Pamoja na CCM kujidai wamejenga SGR, bwawa la Stiglers Gorge, ndege za Bombardier, sijui elimu bure, utashangaa mgombea wao John Pombe hataweza kujitokeza kushiriki kwenye open debate ili kuyasema na kujijitetea mbele ya wenzake....!!

Nawaambia kabisa hili la Magufuli kutoshiriki linakuja na hapa ndipo kila MTU atakaposhangaa....

mgombea wao John Pombe hataweza kujitokeza kushiriki kwenye open debate ili kuyasema na kujijitetea mbele ya wenzake....!!

Nawaambia kabisa hili la Magufuli kutoshiriki linakuja na hapa ndipo kila MTU atakaposhangaa....


Sasa Rais wa Jamhuri Ya Muungano aache shughuli zake zote aje kusimama na kupoteza muda na hao wapiga ramli?

Kuna levels ukifika huna haja ya kujibizana na vijizabinazabina kina lisu , msigwa , nyalandu...they are not his type.

Yaani Head of State
Amiri Jeshi Mkuu
Head of the Government
Chairman of Chama cha Mapinduzi chenye mtaji wa wanachama zaidi ya million 8 na Mwenyekiti mstaafu wa SADC na vyeo vingine kibao...

Kweli aje kufanya mdahalo na msigwa?lissu?nyalandu??

Mtoa mada hauko serious.
 
Back
Top Bottom