CHADEMA fursa iliyopo wazi kwa sasa ni kuwatumia wafuasi wa hayati Magufuli kujiimarisha zaidi kwa ushindi wa 2025 huu ndio mtaji wetu mkubwa kisiasa

Peleka ungiri mbali ww sukuma gang, dhalimu hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya ulevi wa madaraka. Angekuwa na hao watu asingenajisi uchaguzi. Ulivyo na gundu hata huko ccm hawakutaki.
Watu kama ndio mnaofanya chadema ionakane ni chama cha wanaharakati.
 
Chadema ni adui wa magufuli sisi hatuwezi kuwakubari tunangoja chama kipya ,hapo chadema na act cha zitto watashangaa kuwa jpm ana nguvu kubwa baada ya chama hicho kuwa na nguvu kuliko vyama vyote tz,magufuli anakubalika kwa asilimia 90% ya watz 10% ndiyo wanagawana wahuni wa ccm na upinzani
 
Peleka ungiri mbali ww sukuma gang, dhalimu hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya ulevi wa madaraka. Angekuwa na hao watu asingenajisi uchaguzi. Ulivyo na gundu hata huko ccm hawakutaki.
Kama na wewe ni mmoja wapo wa walio husika kumuua basi jiwekee ulinzi wa kutosha kama wenzako walio husika wanavyo fanya ,mwenzako mkwele anaishi kama digidigi na madoctor wake
 
Peleka ungiri mbali ww sukuma gang, dhalimu hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya ulevi wa madaraka. Angekuwa na hao watu asingenajisi uchaguzi. Ulivyo na gundu hata huko ccm hawakutaki.
Mtu ambaye alikuwa analipa pesa ili watu waje kwenye mikutano alikuwa na wafuasi Gani!? Mwacheni apumzike Hana lolote kwenye ulimwengu WA waliobaki hai!!
 
Peleka ungiri mbali ww sukuma gang, dhalimu hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya ulevi wa madaraka. Angekuwa na hao watu asingenajisi uchaguzi. Ulivyo na gundu hata huko ccm hawakutaki.
Upumbavu Huu ni wa kiwango cha juu sana
 
Magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana. Mama ntilie, machinga, wakulima na watu wa hali ya chini. Yeye aliwaita wanyonge. Hawa ndio mtaji wetu kwa sasa. Tuwatafute na kuwavuta Chadema maana CCM ya sasa imewakataa na imerudi kwa mafisad...
Bwashee chadema yenyewe unayotaka ituvute kwenda kwayo ni ipi, hii hii ambayo mgombea wao ni tundu lisu?
Kama ni hiyo basi ushauri wako hautafanya kazi. Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye hazimtoshi #dishlimetilt
 
Mtaji wenu? Ww na nan? Sema mtaji wao!! Nyie CCM mna mtaji wenu huko!! Over!!
 
Bwashee chadema yenyewe unayotaka ituvute kwenda kwayo ni ipi, hii hii ambayo mgombea wao ni tundu lisu?
Kama ni hiyo basi ushauri wako hautafanya kazi. Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye hazimtoshi #dishlimetilt
Hapa kuna haja utueleze vzr kuhusu dish lake kuyumba!! Ni kichaa? Mwehu! Au ana matatizo ya akili? So tupe facts ambazo zinathibitisha madai yako!!
 
Magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana. Mama ntilie, machinga, wakulima na watu wa hali ya chini. Yeye aliwaita wanyonge. Hawa ndio mtaji wetu kwa sasa. Tuwatafute na kuwavuta Chadema maana CCM ya sasa imewakataa na imerudi kwa mafisadi...
Kwanza mnatakiwa mkazikwe Chato.
 

Hayati Rais Magufuli hakuwa na wafuasi wengi hivyo.

Asingeua wapinzani, kuwanunua na kupora chaguzi ili kujihalalishia ushindi .

Kama angelikuwa na wafuasi hao, asingeyatenda aliyoyatenda ilikuupata ushindi wa hila wa 100% ni uhayawani uliopaswa afunguliwe mashtaka.

Amekufa na deni watanzania wenye akili timamu kamwe hawata msamehe kwa kuwa hata msamaha hajawaomba
 
Peleka ungiri mbali ww sukuma gang, dhalimu hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya ulevi wa madaraka. Angekuwa na hao watu asingenajisi uchaguzi. Ulivyo na gundu hata huko ccm hawakutaki.
Viongozi wengi CHADEMA wenye maono wamestuka hawamtukani tena. Unajua idadi ya kura za machinga Nchi nzima walioharibiwa biashara zao ni wangapi? Wamuona ni SHUJAA wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…