CHADEMA haina katibu mwenezi?

CHADEMA haina katibu mwenezi?

Team Mbowe au Team Gombe? Punguza jazba....budget chama lazima iangaliwe....wanajipanga tuliza mshonoo
Hakuna timu kwa sasa hivi - uchaguzi ukishaisha CDM ni moja na Lissu ndiyo kamanda wake mkuu.
 
Ngoja Tutoke Kwenye Matambiko(Kusimikwa)Kwanza Na Wazee Wetu Hai Na Walio Marehemu Tayari Alafu Tunakuja Kwenye Mapambano
 
Hakuna timu kwa sasa hivi - uchaguzi ukishaisha CDM ni moja na Lissu ndiyo kamanda wake mkuu.
Na pesa na maboya wa kzmkz mmezipigaa??? Wenjeeeee.....abdulllll
 
Vipi wakwako unaowaamini mzalendo nani?
Viongozi wa chama changu Cha CCM ambao wameiongoza nchi hii tangu baada ya uhuru hadi sasa. Viongozi ambao wameiongoza nchi hii kwa amani na upendo kiasi hata wewe unaishi kwa amani na familia yako kama unayo.
 
Kwani kapiga energy ngapi?
Yule Mzee lazima anatumia dawa za Pressure na kisukari, kwahiyo wanasubiri Sukari ishuke kisha waanze kumponda Kwa hoja ngumu hadi akapewe Kitanda Kwa Prof Janabi 🤗
 
Back
Top Bottom