CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

toka huko na vibahasha vyako, naona pasco mnasaidiana na buku 7 fc kupiga chenga, nyambafu zenu
 
Nasubiria daftari la wapiga kura zingine ni ngonjera za wachumia tumbo
 
Kadri siku zinavyozidi kusonga, chadema nayo inazidi kupukutika, wanachama wanaikimbia, mashabiki wanaikimbia, wananchi wanaisusia. Inabakibkatika kaeneo kadogo cha arusha mjini na moshi mjini. Yamesemwa mengi kuwa hii ni saccos, nk lakini mimi nasema hiki chama cha kaskazini
 
Kadri siku zinavyozidi kusonga, chadema nayo inazidi kupukutika, wanachama wanaikimbia, mashabiki wanaikimbia, wananchi wanaisusia. Inabakibkatika kaeneo kadogo cha arusha mjini na moshi mjini. Yamesemwa mengi kuwa hii ni saccos, nk lakini mimi nasema hiki chama cha kaskazini

Hatima yao ni Mwenyekiti atoke nje ya Kanda ya Kaskazini, la sivyo...........
 
ccm kwa kudanganyana wenyewe kwa wenyewe hamjambo.
 
Hata huku kadkazini watu wameshtukia hiki chama sio kabisa. Wamebaki wanywa viroba na wasiojitambua (MISUKULE)
 
Kuna makosa mengine ambayo Chadema imekuwa ikiyafanya ambayo yanawagarimu kwenye chaguzi ndogo
1. Kuwaita wazee kuwa hawana mwamko, hivi unategemea mtu uliyemuita hivyo akupigie kura kweli?
2. Kuleta vijana kutoka sehemu nyingine waje kulinda kura. Hivi unategemea vijana wa Chadema wa Kalenga walijisikiaje, usikute ndo maana hata wengine wakaamua kupigia kura CCM.
 
Chama kinachokimbizwa mjini na kuelekea vijijini je chama hicho kinakuwa au kinaporomoka.
 
Kadri siku zinavyozidi kusonga, chadema nayo inazidi kupukutika, wanachama wanaikimbia, mashabiki wanaikimbia, wananchi wanaisusia. Inabakibkatika kaeneo kadogo cha arusha mjini na moshi mjini. Yamesemwa mengi kuwa hii ni saccos, nk lakini mimi nasema hiki chama cha kaskazini

upo dunia ipi? njoo mwanza uione cdm inavyokubarika! Tangazeni uchaguzi mdogo kata iliyoachwa na jambazi mabina muione cdm!
 
Kadri siku zinavyozidi kusonga, chadema nayo inazidi kupukutika, wanachama wanaikimbia, mashabiki wanaikimbia, wananchi wanaisusia. Inabakibkatika kaeneo kadogo cha arusha mjini na moshi mjini. Yamesemwa mengi kuwa hii ni saccos, nk lakini mimi nasema hiki chama cha kaskazini

Mbeya wimbo ni CHADEMA.
 
Kadri siku zinavyozidi kusonga, chadema nayo inazidi kupukutika, wanachama wanaikimbia, mashabiki wanaikimbia, wananchi wanaisusia. Inabakibkatika kaeneo kadogo cha arusha mjini na moshi mjini. Yamesemwa mengi kuwa hii ni saccos, nk lakini mimi nasema hiki chama cha kaskazini
Nani kakufundisha kusema uongo? hujui kuna siku ya mwisho na kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake. kwanini unajipa makosa yasio kuwa na faida nawewe? kaachini tafakari, bora uuze unga unapata faida kuliko uzushi usio na maana. aksante
 
Hatima yao ni Mwenyekiti atoke nje ya Kanda ya Kaskazini, la sivyo...........

cdm inawahusu nini nyie magamb??? mh Mbowe ni mwiba mchungu kwenu,ndo maana daily mnawaza mbowe mbowe! kama mlidhani mtapata fursa ya kupenyeza mamluki wenu imekula kwenu!
 
upo dunia ipi? njoo mwanza uione cdm inavyokubarika! Tangazeni uchaguzi mdogo kata iliyoachwa na jambazi mabina muione cdm!

Unajua hawa magamba ni wehu,wewe waache waendelee kufarijiana wao kwa wao,ukibishana nao wewe ndiyo utaonekana kituko! Hayo nimeishawapuuza tayari.
 
upo dunia ipi? njoo mwanza uione cdm inavyokubarika! Tangazeni uchaguzi mdogo kata iliyoachwa na jambazi mabina muione cdm!

Sehemu yeyote yenye maendeleo na watu wakiwa na shule kichwani haijalishi ya dunia ama vitabuni huwa magamba hawafurukuti.
 
Wewe umeshalogwa siku nyingi ni heri ya mtu anayetumia viroba kuuliko mtu anayedhani ccm inakubalika dunia ya sasa.Chadema ni chama chenye kibali kuliko unavyodhani wappiga kura wa ccm wanakaribia kufa saa hizi ni wazee wa zama zileee yaaani analogia
 
Wewe kama uko ccm mmetoka kuvua gamba mnaelekea kuvua roho muda si mrefu
 
Back
Top Bottom