The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Mbowe na busara na msimamo wake umewachanganya upande wa pili.. Huyu utakuta ni Bashite kwa sababu anamnyima usingizi sana--Ulichokosea cha kwanza ni kujiita Mushi Masawe baada ya kufungua id mpya. Hakuna mtu ana surnames mbili.
Pili, haingii akilini mtu ambae hamumtaki anakuumiza kichwa hadi umemfungulia id mpya! Kitendo cha kujiita Mushi Masawe ni kuwa unataka kupambana na Mbowe na una lengo la kujifanya mchaga
Tatu, aliyejenga daraja la wami ni serekali na si Magufuli na juu ya yote ni kazi na wajibu wa serekali kujenga madaraja na barabara na sio privilage kwako ndugu. Wasingejenga ndio una haki kulaumu na si wakijenga, sawa?
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Haya mimi niko kazini wewe je?Ili iweje. We uko kazini usijifananishe na mimi.
@mushi massaweHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Sioni saini za wanakilimanjaro, huenda huu ni udaku tuHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Vijana wetu walipomzomea mlisema hivihivi ati wamenunuliwa. Haya maana sisi umri umeenda tumeshaona mengi.Hatuna Mushi Masawe. Pia hatuna neno ukabila.
Haya yanaonyesha hii account ni fake.
Tatizo ccm kilimanjaro haitimizi wajibu wao. Imetekwa na wenye njaa wanaojitokeza dakika za mwisho.
Kila kata ina changamoto zake lakini mpaka sasa hakuna mdau mwenye nia aliyefanya lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tume ikiwa huru na haki hakuna jimbo CCM itakaa ishinde hata moja nchi hiiHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Utaona kwa macho yako mwezi october mtarudi kupiga mziki.
Mmh hats kongwa?Tume ikiwa huru na haki hakuna jimbo CCM itakaa ishinde hata moja nchi hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa, mnyukano mkali uko uchagani.sisi tangu Uhuru jimbo letu Ni mbunge Wa ccm lakini hakuna jipya.angalau nyie huko uchagani barabara za lami mpaka milimani dah.ila mwanadamu hana shukraniHata mimi ni mpinzani lakin nakubaliana na hilo... jimbo langu ni vunjo tulimchagua mbatia lakini hakuna lolote alilofanya boara hata arudi mrema tutampa kura[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo mgawaji wa majimbo? Halafu huwa najiuliza,toka tupate Uhuru mpaka mfumo wa vyama vingi unaanzishwa majimbo yote yalikuwa chini ya chama gani? Je,kuwa na chama kimoja ndo maendeleo huja haraka? Muda Fulani tujaribu kupevuka kidogo.Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Haahaa mchaga akiona senti pahali husifia sana, nimeamini.huko uchagani mmefanyiwa mengi tu. Ila hapa unaleta unafiki tu.tangu Uhuru mmependelewa sana sio Na jpm tu.marais wote waliopita.Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.