Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Moshi mjini ilikosea Sana kuwapa chadema Jimbo,na kwa hakika jambohilo wachaga hawato lirudia tena chaguzi hii

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Mkuu unazungumzia wachaga Wa wapi? Wa kishumundu, kibosho, machame, rombo au marangu?
 
Propaganda za kitoto na zakizamani sana ndio Watanzania wote wajue hicho chama cha mambumbumbu

CCM ni chama kilichoishiwa ktk kila nyanja kinasaidiwa kwa msaada wa nguvu ya vyombo vya dola
 
Propaganda za kitoto na zakizamani sana ndio Watanzania wote wajue hicho chama cha mambumbumbu

CCM ni chama kilichoishiwa ktk kila nyanja kinasaidiwa kwa msaada wa nguvu ya vyombo vya dola
Mnatuangusha sana i see... Nasikia hata hotuba ya bajeti ya waziri mkuu Mbowe ameshindwa kujibu. Analeta lugha mbovu na malalamiko ambayo hayapo kwenye bajeti. Tunamsubiri hai we ngoja.
 
Mnatuangusha sana i see... Nasikia hata hotuba ya bajeti ya waziri mkuu Mbowe ameshindwa kujibu. Analeta lugha mbovu na malalamiko ambayo hayapo kwenye bajeti. Tunamsubiri hai we ngoja.
Nchi mnaipekeka kwenye vita vya sisi kwa sisi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ila Jf raha sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUme huru ya uchaguzi? Au kiburi chako kinatoka wapi?
 
Mkuu unazungumzia wachaga Wa wapi? Wa kishumundu, kibosho, machame, rombo au marangu?
Wote kwa ujumla wao awawezi uona Moshi inakwenda kishamba chini ya chadema na nguvu zao zote Ni uikanyaga na kuitupilia mbali,nimekua Moshi mjini kwa kipindi Cha mwezi na nusu mwaka jana nikitembea huku nakule kwenye mtaa tofauti SI majengo,njoro,kcmc,soweto,mbuyuni,rau juu na chini,ushirika,shanti,kiboriloni, mabogini hadi KDC, kote mazungumzo Ni kuichoka chadema na Sasa wanataka kuwabwaga hawaoni tofauti ya kuwa na mbunge kutoka CCM Wala chadema zaidi wanaona kukosa vingi chini ya wongozi wa chadema

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Achana naye anatafuta basha huyo sio bure.
 
CCM dawa yenu Tume Huru...najua nikitaja tume huru mnanunaa na mtanuna saana mmeshazoea kuwafanya watanzania mazezeta hawajui kitu.. sasa ni hivi...

Tume Huru ndiyo habari ya mjini...usininumie mimi kamnunie mkeo...!!
 
Bwashee hilo jina la Mushi Masawe limechanganya koo mbili ili kuonyesha msisitizo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia imejaa hofu hatuelewi hata tunakoelekea, Giza ni nene lakini wengine bado munawaza siasa tu.
 
aiiiseeee wewe kyasaka a.k.a Lumumba buku 7

hakunaga Mushi Masawe babangu.!

badili tena hiyo I'd...umeingia cha ki cha kikekweli
Kweli ni Lb7! Amekurupushwa akakurupuka. CDM inawatia wazimu upande ule hadi huruma.
 
57:735485574777477=752555721245574/421=457=7==-=54572255742235=7744422255=72=247:654

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaa we mchaga Wa wapi mkuu? Kishumundu au kibosho? Maana naona umeamua kuwasemea wachaga wote hata kabla hawajapiga kura.
Umekosea hapo mkuu. Wachagga wa hayo maeneo ndio wana ajili type ya mushi massawe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…