Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mimi niliandika kuhusu bahati mbaya kwa ujio wa mh lissu,kuhusu mchakato wa kura za maoni sikutaja, lakini haina maana kwamba huko ni saf kabisa.nako kuna madhara yatatokea.Kuna matukio mengine hayahitaji kuhusisha na vitu vingine.
Kwa nini basi usiseme mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM unamkosi, au uchaguzi mkuu kwa CCM safari hii umekuja na bahati mbaya watashindwa kwa sababu wamefiwa na mkiti wao mstaafu.
Watu mmekuja kuwaje? kwami maandamano yanazuia kuomboleza
Jamaa wa ajabu sana weweMKama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehem Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
kwanini umekubali kuwa mnafiki!!!
kujidanganya kunakufanya ujisikie raha sekunde chache sana,baada ya hapo ni maumivu tena.unadhani wamekufa watu wangapi usiku wa leo???kwanini msiba maarufu ni wa mtu mmoja??
Mbona mchakato wa wagombea unaendelea huko sisiemu, na hadi jana usiku kabisa kura zilikuwa zinaendelea kuhesabiwa live?Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
Na ccm inawapotezea sana marais wastaafu sifa za kiongozi wa kitaifa Kwa kuegemea kwenye ujinga na kuutetea. Yuko kama la LISU watu kupotea wap kimya hata kukemea wanashindwa. Utasema kiongozi wa taifa hapo?. Na hii imewakumba hata baadhi ya kiongozi wa dini piaMkapa kama kongozi mstaafu alikaa kimya hata pale TL aliposhambuliwa
Mkapa siyo kiongozi wa Taifa, alikuwa ! na atapewa heshima hizo kama ilivyo
Katika nchi huru watu hutenda kwa uhuru wakiongozwa na busara zao.
Hakuna sheria inayoongoza nini watu wafanye katika maisha yao ilimradi hawakiuki sheria za nchi
Hili livunja haki za binadam kama bashite liliuwa wazanzibar mwaka 2001 nani analithamanisha labda Lumumba sisi hata hatuna mda nalo shughuliken nalo wenyewe sis tunamaandaliz ya kumpokea mkomboziKama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
mkuu samahani kama una stress za maisha,ama una matatizo yoyote ya kifamilia usininukuu tena.
wapi nimesema mimi sitakufa au wewe hutakufa!!!!sijui kama unaelewa hata unachokisoma zaidi ya kukurupuka tu!!!
Unataka kusema amezimishwa ili kuzima mapokezi? Au nimekuelewa vibaya.ingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
Imeisha hiyo,wacha wafu wazikane.Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. Amina.
ajabu ya nini sasa,kwani hujui kama lissu anakuja jtatu or whatever!!!!but msiba haukuwepo kwenye mipango yetu au nadanganya????Kumbe kupokea ndege ndio ajabu?
However kumpokea mtanzania alieumizwa kwa shehena ya risasi na amenusurika mauti sio ajabu kwako?
hiyo itakuwa kutumia kifaru kuua panya.Unataka kusema amezimishwa ili kuzima mapokezi? Au nimekuelewa vibaya.