Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wape salaaaaam mataga wa lumumba.Kwani maandamano yanazuia msiba???? Kuna mtu kakwambia uache kuomboleza uende kumpokea Lissu????
CCM Embu acheni kujidhalilisha humu. Mbona mnamuogopa sana raisi Mtarajiwa??? Maisha yenu yataendelea tu kuwepo hata baada ya Lissu kuapishwa kuwa Raisi hapo November 2020.
Tulieni jamani CCM.